Vijiji vyote vya mpwapwa vya milimani hakufai japo kuna unafuu ukilinganisha na tambarare. Mpwapwa mwisho ilitakiwa iwe Kibakwe.Kiboriyani ukifika mpwapwa jkt unapandisha juu huko milimani aisee huko watu wanalima bangi tu na mahindi.
Tanzania kubwa sana ndugu yangu, na ina mila na desturi na maisha ya kila namna. Naomba Mungu siku moja nikipata fedha ya ziada nitafanya ziara Tanzania nzima au sehemu nyingi kadiri niwezavyo. Sehemu kama hizo ambazo wengi wamezizungumzia hapa.Kijiji kingine ni mpyagula, kwa mbele kuna wasukuma wengi miaka ile wali na kambale mkubwa sana ilikua ni mia tano tu, mwenyeji wangu aliponiona kama nina mawazo akajadili na mke wake wakamwita binti mdogo wa mke wake aje anifariji chumbani na binti alikua mwanafunzi nilishangaa sana sitosahau hiko kisa
Hivi KUBUKA ni kiswahili au? Nakumbuka linatumika sana Mtwara huko
Hukuu ni balaaMpwapwa ina vijiji vingi vya ajabu ajabu... kuna Kijiji kinaitwa MWENZERE .... hatari
Kuna Hawa ndugu zangu wa tewe kule milimani karibia na ndugu zao wa Mali sijui hata wamefwata nini kuleHabari za muda huu wanajf.
Nchi yetu ni kubwa na Ina miji na vijiji vingi lakini Kuna baadhi ya maeneo unaweza ukahisi sio sehemu ya nchi yetu mpaka ukajiuliza maswali kuwa Hawa watu waishio hapa walivutiwa na Nini mpaka wakaweka makazi ya kudumu maeneo haya
Mfano, Mimi niliwahi kutembelea Kijiji Cha Baranga kata ya sirorisimba kupitia Kyagata. Nilistajabu na kujiuliza Hawa watu huku wanaishije?
Ukame ndo kwao, maji shida, Hali ya hewa mbovu , jua kali ndo kwao, vurugu Sasa ndo chimbuko lake. Siku moja tulikuwa na mechi ya kirafikina timu ya Kijiji jirani ile tupo kwenye gari tukashangaa tunaanza kurushiwa mawe barabarani.
Kwa kuwa sisi tulikuwa wageni tuliogopa Sana lakini wenyeji wakatuambia msiogope hao wote tutakutana kwenye mnada. Siku nyingine tulikuwa Mnadani Sirorisimba siku hiyo kulikuwa namgogoro wa mpaka wa shamba Kati ya ukoo na uko huku polisi wakiwa na mitutu ya bunduki lakini ilivyo ajabu watu wa kule nilishudia wakibebana na kuhamasishana wabebe mishale waende wakaanzishe vurugu.
Wewe ulipita wapi na ulistaajabu Nini?
Balaa ukiwazenguaKwanza manda kule ikifika saa moja jioni mgahawani chakula haupati, pili mtandao wa voda ni shida wenyeji wa kule wakarimu sana.
Kuna Maeneo yanatisha ndugu, Ziara ya 825 kJ mpwampwa kipindi inarudishwa upya ile kambi maana ilifungwa kwa miaka Mingi sana Kabla ya kuirejesha Eneo la awali ilifanya wengine tutembelee Maeneo mengi ambayo ni tofauti machoni petu kwa upande wa Dodoma ,kuna Kijiji kinaitwa mbuga huko ni baridi si mchezo ndugu na maisha yetu ndio yaleyale.[emoji1][emoji1]
Dodoma ninadhani ndio mkoa unaongoza Kwa mazingira magumu
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kuna sehemu nilifika Katesh, Arusha huko, zamani sana. Nilishangaa kukuta wavuta sigara hata magazeti ya kusokotea sigara hawana bali wanatumia mabua ya mahindi. Nilikuwa na gazeti wakafurahi kweli kweli nilipowapa.Kuna Maeneo yanatisha ndugu, Ziara ya 825 kJ mpwampwa kipindi inarudishwa upya ile kambi maana ilifungwa kwa miaka Mingi sana Kabla ya kuirejesha Eneo la awali ilifanya wengine tutembelee Maeneo mengi ambayo ni tofauti machoni petu kwa upande wa Dodoma ,kuna Kijiji kinaitwa mbuga huko ni baridi si mchezo ndugu na maisha yetu ndio yaleyale.
🤣🤣🤣🤣 karatasi adimu huko? Hamna hata yaliyoachwa chini?Kuna sehemu nilifika Katesh, Arusha huko, zamani sana. Nilishangaa kukuta wavuta sigara hata magazeti ya kusokotea sigara hawana bali wanatumia mabua ya mahindi. Nilikuwa na gazeti wakafurahi kweli kweli nilipowapa.
Hhhhhhhhhh hii kali aiseeKawe kapina -Heka kumi kwa elf 15 .Ukiwa na 50 na nyumba unajenga kabisa .Tanzania bado poriii.
Alafu bado ukajiuliza wamefuata nini?Bora hata mpanda, kuna mahali panaitwa MAJIMOTO aisee huko nilipoenda nilijiuliza qatu wamefuata nini, na wengi wao ni wasukuma kule...Ajabu ni kwamba they are making money ile hatari. Ni matajiri wa kutupwa kutokana na kilimo ufugaji na madini.
Vile vijiji vya kule jeshini ni noma kule hakuna barabara,duka,umeme,network za simu,maji shida lkn watu wanaenjoy lifeVijiji vyote vya mpwapwa vya milimani hakufai japo kuna unafuu ukilinganisha na tambarare. Mpwapwa mwisho ilitakiwa iwe Kibakwe.
Kule ni shida tupu kuanzia vianzi taliri mpwapwa kwenda mbele hadi mpwapwa jkt mbele huko kuna shida tupuKuna Maeneo yanatisha ndugu, Ziara ya 825 kJ mpwampwa kipindi inarudishwa upya ile kambi maana ilifungwa kwa miaka Mingi sana Kabla ya kuirejesha Eneo la awali ilifanya wengine tutembelee Maeneo mengi ambayo ni tofauti machoni petu kwa upande wa Dodoma ,kuna Kijiji kinaitwa mbuga huko ni baridi si mchezo ndugu na maisha yetu ndio yaleyale.
Ni wapi mkuu au mkoa gani?Kawe kapina -Heka kumi kwa elf 15 .Ukiwa na 50 na nyumba unajenga kabisa .Tanzania bado poriii.
Wewe huoni hiyo view😁Mwanza miambani wananoishi watia huruma sana japo wao wanaona wamepata viwanja city centre.
Huwa najiuliza walishindwaje kuweka makazi Usagara, Misungwi na Magu badala ya kubanana kwenye mawe kama mijusi ambako kupanda ni shida na inaweza kuchukulia lisaa kwenda sehemu unayoiona kwa mbele tu hapo.View attachment 2378247