Ni sehemu ipi sahihi ya kuelezea siri au kitu kinachokusumbua kwa muda mfupi au muda mrefu?

Ni sehemu ipi sahihi ya kuelezea siri au kitu kinachokusumbua kwa muda mfupi au muda mrefu?

realMamy

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
3,925
Reaction score
8,853
Kwa uzoefu tu Jamani watu wengi ni wasaliti sana.

Unaweza kumueleza kitu chochote ili upewe ushauri.

Cha ajabu ushauri hupewi bali utayasikia mtaani na hii inaumiza sana.

Sasa ni wapi Jamani mtu ueleze siri yako?

Mimi limewai nikuta nilimueleza mtu siri na akaenda kuisambaza mahali nilijuta sana kwa kuwa nilikuwa namuamini sana.

Wakuu tupeane uzoefu na ushauri.
 
Jaribu jf, huenda hawa anonymous members wakawa wasiri. Huku mtaani hali sio nzuri...ila nimesahau, hata huku ukijichanganya tu umekwisha, ila sio issue manake kesho unakuja na ubini mwingine.
 
Nenda shambani kwako chimba shimo dogo ongea yote unataka kusema ukimaliza fukia ondoka. Hapo nakuhakikishia hautayasikia kwa watu tena
mti utaota kwenye hilo shimo na kila jani litakalo dondoka litasema yote uliyokuwa unasema "Kinyozi akashindwa kuvumilia kumsema mfalme, akaenda kuchimba shimo dogo kwenye shamba akisema "𝐌𝐟𝐚𝐥𝐦𝐞 𝐚𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐬𝐤𝐢𝐨 𝐦𝐚𝐫𝐞𝐟𝐮 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐩𝐮𝐧𝐝𝐚" mbegu ya msonobaro ikadondoka hapo kwa bahati mbaya mti ukaota ukwa mkubwa.

Maajabu kila jani linalodondoka kwenye mti linasema "mfalme ana maskio makubwa kama punda"

𝐤𝐢𝐣𝐢𝐣𝐢 𝐤𝐢𝐳𝐢𝐦𝐚 𝐤𝐢𝐤𝐚𝐣𝐮𝐚 𝐚𝐡𝐚𝐚𝐚 𝐧𝐝𝐢𝐨 𝐦𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐡𝐚𝐯𝐮𝐢 𝐤𝐢𝐭𝐚𝐦𝐛𝐚𝐚 𝐤𝐢𝐜𝐡𝐰𝐚𝐧𝐢 𝐭𝐮𝐤𝐚𝐨𝐧𝐚 𝐧𝐲𝐰𝐞𝐥𝐞 𝐳𝐚𝐤𝐞. Source RIWAYA YA GAMBA LA NYOKA BY EFRAHIMU KEZILAHABI

ukitaka kutoa siri nenda sehemu yenye miti na hewa nzuuri upepo mwanana sikiliza relax songs meditate ongea na miti.

penda sana land scape.
 
mti utaota kwenye hilo shimo na kila jani litakalo dondoka litasema yote uliyokuwa unasema "Kinyozi akashindwa kuvumilia kumsema mfalme, akaenda kuchimba shimo dogo kwenye shamba akisema "𝐌𝐟𝐚𝐥𝐦𝐞 𝐚𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐬𝐤𝐢𝐨 𝐦𝐚𝐫𝐞𝐟𝐮 𝐤𝐚𝐦𝐚 𝐩𝐮𝐧𝐝𝐚" mbegu ya msonobaro ikadondoka hapo kwa bahati mbaya mti ukaota ukwa mkubwa.

Maajabu kila jani linalodondoka kwenye mti linasema "mfalme ana maskio makubwa kama punda"

𝐤𝐢𝐣𝐢𝐣𝐢 𝐤𝐢𝐳𝐢𝐦𝐚 𝐤𝐢𝐤𝐚𝐣𝐮𝐚 𝐚𝐡𝐚𝐚𝐚 𝐧𝐝𝐢𝐨 𝐦𝐚𝐚𝐧𝐚 𝐡𝐚𝐯𝐮𝐢 𝐤𝐢𝐭𝐚𝐦𝐛𝐚𝐚 𝐤𝐢𝐜𝐡𝐰𝐚𝐧𝐢 𝐭𝐮𝐤𝐚𝐨𝐧𝐚 𝐧𝐲𝐰𝐞𝐥𝐞 𝐳𝐚𝐤𝐞. Source RIWAYA YA GAMBA LA NYOKA BY EFRAHIMU KEZILAHABI

ukitaka kutoa siri nenda sehemu yenye miti na hewa nzuuri upepo mwanana sikiliza relax songs meditate ongea na miti.

penda sana land scape.
Nondo za wakale utazijua tu.
 
Kwa uzoefu tu Jamani watu wengi ni wasaliti sana.

Unaweza kumueleza kitu chochote ili upewe ushauri.

Cha ajabu ushauri hupewi bali utayasikia mtaani na hii inaumiza sana.

Sasa ni wapi Jamani mtu ueleze siri yako?

Mimi limewai nikuta nilimueleza mtu siri na akaenda kuisambaza mahali nilijuta sana kwa kuwa nilikuwa namuamini sana.

Wakuu tupeane uzoefu na ushauri.
Mtu wa kumwambia siri yako ni nafsi yako, ongea na nafsi yako na ilazimishe itunxe hiyo siri kwa kuwa unaimudu nafsi yako
 
Back
Top Bottom