Ni sekta zipi katika soko la Tanzania hazina perfect competition of market?

Ni sekta zipi katika soko la Tanzania hazina perfect competition of market?

EllySkyWilly

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2020
Posts
2,204
Reaction score
2,085
Habari za leo wakuu,

Kama kichwa kinavyo jieleza hapo juu njoo tujadili ni sekta zipi katika soko la Tanzania hazina perfect competition of market.

Perfect competition ni hali ya kuwepo kwa ushindani Mkubwa katika soko usio na upendeleo. Na bei za sokoni zote hazi be controlled na wauzaji wala wanunuaji. Soko linaji-control lenyewe.

Halafu pia soko hilo linakua halina monopolism. Monopolism ni mfumo wa soko unaokua na muuzaji mmoja tu, na anakua anauza bidhaa ya moja ambayo haiuzwi na mwingine yeyote kwenye soko. Katika soko la monopoly, muuzaji hakabiliwi na ushindani wowote, kwani ndiye muuzaji pekee wa bidhaa isiyo na mbadala hapo sokoni.

Ni sekta zipi katika soko la Tanzania hazina perfect competition of market.

Dondosha jibu lako hapa chini.

Note; Market is a good way to organize economic activities.
 
Perfect competition ni nini na sekta zipi zina hiyo perfect competition?
 
Perfect competition ni nini na sekta zipi zina hiyo perfect competition?
Perfect competition ni hali ya kuwepo kwa ushindani Mkubwa katika soko usio na upendeleo. Na bei za sokoni zote hazi be controlled na wauzaji wala wanunuaji. Soko lina ji control lenyewe.

Halafu pia soko hilo linakua halina monopolism. Monopolism ni mfumo wa soko unaokua na muuzaji mmoja tu, na anakua anauza bidhaa ya moja ambayo haiuzwi na mwingine yeyote kwenye soko.

Katika soko la monopoly, muuzaji hakabiliwi na ushindani wowote, kwani ndiye muuzaji pekee wa bidhaa isiyo na mbadala hapo sokoni.
 
Haya mambo nenda kafanye discussion kwenye vimbweta vya chuo huko na wanafunzi wenzio.
 
Sector ya elimu. Ukijua namna ya kjiongeza vizuri na kuangalia madhaifu fulani katika sector ya elimu unaweza kupata idea ya huduma ambayo ni unique na unaweza itoa wewe peke yako.

Lazima kuumiza kichwa, kaa fuatilie sector ya elimu kiujumla.

SWOT zote uzielewe kisha njoo na kitu yako.

Siyo jambo jepesi kwa small minded
 
Sector ya elimu. Ukijua namna ya kjiongeza vizuri na kuangalia madhaifu fulani katika sector ya elimu unaweza kupata idea ya huduma ambayo ni unique na unaweza itoa wewe peke yako.

Lazima kuumiza kichwa, kaa fuatilie sector ya elimu kiujumla.

SWOT zote uzielewe kisha njoo na kitu yako.

Siyo jambo jepesi kwa small minded
Haah jana tu nilikuwa na Brainstorm geto nikichambua fursa zilizopo kwenye sector mbalimbali kwenye Education nimetoka kapa

Soko ni PASS
 
Haah jana tu nilikuwa na Brainstorm geto nikichambua fursa zilizopo kwenye sector mbalimbali kwenye Education nimetoka kapa

Soko ni PASS
Mkuu sector ya elimu ni pana. Hata hivyo binadamu tunatofautiana mtazamo, na kile ukionacho siyo sawa na nikionacho.

Zaidi ya yote lazima uwe flexible ili kupata unique idea.
 
Sector ya elimu. Ukijua namna ya kjiongeza vizuri na kuangalia madhaifu fulani katika sector ya elimu unaweza kupata idea ya huduma ambayo ni unique na unaweza itoa wewe peke yako.

Lazima kuumiza kichwa, kaa fuatilie sector ya elimu kiujumla.

SWOT zote uzielewe kisha njoo na kitu yako.

Siyo jambo jepesi kwa small minded
Mkuu kweli usemavyo ,mm nipo hapa Tanga wilaya moja eneo fulani,mwanzoni wakazi wa hapa walikuwa wanalalamika kutokuwepo shule ya midiam kwa kuwa inawafanya wawapeleke watoto wao shule za kulala wakiwa wadogo na ilikuwa inawauma Sana .Baadae kukaja roman catholic wakaanzisha shule yao maarufu shule ya masister ,changamoto ikaja ada ni kubwa lakini pia waislam wenye imani zao haswa hawataki kuwapeleka watoto wao hapo.Nikaona kumbe ikipatikana day ambayo haina mlengo wa imani na Ada nafuu tayari ni fursa .But kila nikijaribu kufikiri namna ya kuanzisha hata nasary baadae nifungue shule kabisaa akili inakwama kwa sababu ya mtaji .Nakubali kuna mahali elimu ni fursa sana.
 
Mkuu kweli usemavyo ,mm nipo hapa Tanga wilaya moja eneo fulani,mwanzoni wakazi wa hapa walikuwa wanalalamika kutokuwepo shule ya midiam kwa kuwa inawafanya wawapeleke watoto wao shule za kulala wakiwa wadogo na ilikuwa inawauma Sana .Baadae kukaja roman catholic wakaanzisha shule yao maarufu shule ya masister ,changamoto ikaja ada ni kubwa lakini pia waislam wenye imani zao haswa hawataki kuwapeleka watoto wao hapo.Nikaona kumbe ikipatikana day ambayo haina mlengo wa imani na Ada nafuu tayari ni fursa .But kila nikijaribu kufikiri namna ya kuanzisha hata nasary baadae nifungue shule kabisaa akili inakwama kwa sababu ya mtaji .Nakubali kuna mahali elimu ni fursa sana.
Mkuu kuna idea ya kuanza kama tuition centre ya kawaida, kisha taratibu unaongeza vitu vya ziada.

Inaweza chukua muda mrefu au mfupi kutegemeana na jitihada na ubunifu katika utekelezaji.

Penye nia pana njia na ukitaka kufanya jambo kubwa, kubali kuanza kidogo huku ukipanda taratibu.
 
Back
Top Bottom