NgugiAchebe
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 1,024
- 688
Wana janvi ile kesi iliokua inasubiria sana iliokua inamuhusu askari aliemuua marehaemu mwangosi mwandishi wa habari wa Chanel 10 imetoka kwa askari kuhukumia miaka 15 jela kwa mujibu wa jaji aliua Vila kukusudia. Sawacnimekubali
Mtakumbuka kuna kesi iliokua inamuhusu msanii wa bongo movie lulu Maiko lulu akituhumia kumua marehemu kanumba na ikaonekana nae aliua bila kukusudia lakini cha kushangaza had I Leo hakuna hukumu iliotoka wakati nae kaua bila kukusudia
Swali lina kuja sheria zetu za mahakama zinautofauti kwa majaji wanaosukiliza kesi?
Mtakumbuka kuna kesi iliokua inamuhusu msanii wa bongo movie lulu Maiko lulu akituhumia kumua marehemu kanumba na ikaonekana nae aliua bila kukusudia lakini cha kushangaza had I Leo hakuna hukumu iliotoka wakati nae kaua bila kukusudia
Swali lina kuja sheria zetu za mahakama zinautofauti kwa majaji wanaosukiliza kesi?