kifimbocheza_
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 1,119
- 1,095
Tunabishana na mshikaji apa anadai shows za ulaya zinalipa zaidi kuliko show za msanii anazopiga Africa nikimanisha show za ndani (nchini na nchi za kiafrica)
Mm naamini na nitaendelea kuamini kuwa show za ulaya hasahasa kwa wasanii wetu hazina maslahi sana ukilinganisha na show ambazo msanii anaweza kupiga kwny nchi za Africa, nasema ivo kwa sababu gani msanii anpoenda kufanya show ulaya mara ngingi tunaona wakifanya kwenye v ukumbi tu kama maisha club hata wasanii wakubwa wa kiafrika kama wizkid na davido wanapiga showa kwenye v club tu tofauti na wanapofanya show kwny nch za kiafrika,
Mwenye exposure zaidi anisaidie.
Post sent using JamiiForums mobile app
Mm naamini na nitaendelea kuamini kuwa show za ulaya hasahasa kwa wasanii wetu hazina maslahi sana ukilinganisha na show ambazo msanii anaweza kupiga kwny nchi za Africa, nasema ivo kwa sababu gani msanii anpoenda kufanya show ulaya mara ngingi tunaona wakifanya kwenye v ukumbi tu kama maisha club hata wasanii wakubwa wa kiafrika kama wizkid na davido wanapiga showa kwenye v club tu tofauti na wanapofanya show kwny nch za kiafrika,
Mwenye exposure zaidi anisaidie.
Post sent using JamiiForums mobile app