Ni Signature ya producer gani Bongo huwa ina Swag na inakuvutia? ( Producer Mkali wa Signature)

Mkaruka

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
19,629
Reaction score
34,199
Kwa wadau wa Muziki mnajua namna vionjo vya maprodyuza vinavyonogesha nyimbo. Je wewe kwako ni signature gani huwa zinakuvutia. Kwangu ni:

1. Abba

2. Uprise Music Baby ( Kijisauti cha mrembo )

3. Nahreel On the beat

4. Kwenye Track hii na Hermy B

5. Maximizer ( Huyu naona kachukua nafasi ya Mazuu )

6. Tudd Thomas

7. Luffa

What's yours
 
Kwenye ngoma ya central zone ....anaanzaga na majengo sokoni ....binladen [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ...huwa napandwa na kichaaa kabisaaa
Unatokea Majengo Sokoni nini ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…