Ni Signature ya producer gani Bongo huwa ina Swag na inakuvutia? ( Producer Mkali wa Signature)

[emoji23][emoji23][emoji23] baada ya kuandika comment yangu ndo naona tulikua na mawazo sawa...

me nasemaga diva makoo u killing 'em[emoji23][emoji23][emoji23] kune wimbo wa OLE
🤣🤣🤣
 
kwa bongo ni man water(sauti ya maji kumwagika),
abbaah! (ile sauti ya rich mavoko ikisema),
s2kizzy baby,
kwa duniani ni;-
mustard on the beat (sauti ya kid ink ikisema madha on dhe biitt)
 
Myuziiiik/Jini X66(Genius jin X 66)
The Mixing killeeer(Yookeyz Moriento)
Black(Blaq beat)
Hayaa/ Aabby Dadiee(Abby Dady)
Eyoo Trone(Trone)
Nas Daa/ Sound bway (Nasda)
On the beat(Kimambo)
Aaaa amy(Amy wave)
T Bo de flame(T Bo de flame)
Ridimakulayoo(Pheelz)
London(London)
Tune in into King of sound and blues(Magicsticks)
Wheezy Outta here(Wheezy)
 
The mix killer ni mtu mwingine
Na Abbah ni mtu mwingine
Oohh nafahamu ila nilikosea kuandika hapo mkuu nilikuwa sijaona, kwenye hiyo list ilikuwa akitoka the mix killer aje abbah, ila nikasahau kutenganisha ndio maana ikawa inasomeka kama jina moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…