Yeah nahisi creativity yake imegonga mwisho hana jipya tenaUwezo wake mdogo siyo ?
Jamaa kawa mvivu siku hizi hatengenezi ngoma kabisa !Talk of the town ........
Lamar.........
I present it to you ....
Fish crub cookout......
Aaaaaaaah .....
Jamaa nilikua namuelewa sana na nadhani yeye ndo kama alianzishaga haya mambo maana kina marco chali walikua hawanaga