Ni siku ipi/zipi ukisex na mwanamke unapata mtoto wa kike?

Ni siku ipi/zipi ukisex na mwanamke unapata mtoto wa kike?

Ritchy Breezy

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2020
Posts
479
Reaction score
727
Habari za wakati huu wapendwa.

Asee hakuna jambo zuri kama kumshawishi mwanamke akubaliane na kile unachohtaji kwake(penzi),inaleta raha zaidi pale mwanamke aonyeshe kukukazia ila ukzdisha sera jimbo unakabidhiwa. mwezi huu nmeattempt kuapproach wadada si chini ya watano,nashukur hakuna alonitolea nje jambo ambalo si kawaida kwangu..kikawaid nkitongoza wa5 wa3/2 watakubal wengne watazngua..

back to the point
Leo jion baad ya mishe zangu nkakutana na binti ambae leo ilkua mara ya pili kukutana,mara ya kwanza tulipokutana tuliishia kusalimiana tu no more. leo nilivyomuona nilimuita nikaomba kuongea nae.. nilitoa ya moyoni,jibu likawa haamini kabsa wanaume basi nkajitetea kimtindo,nkajibiwa tena nimpe muda...
nilimuomba anipe kampani nkachkue kitu duka alipokubali safari ya kwenda dukani na kurudi niliitumia vizuri kwani hadi tunarudi kila kitu alikua amekubali..

inaendelea.>>>
wiki kadhaa nyuma
 
Tuendelee..
katika story story tligusia swala la umri akaniambia ana 24,mie nkaunga na swali,wewe si mwanafunzi umewezaje kukaa hadi leo huna mimba unajitunza sana,japo najua binti yoyote 22-26 akiwa hasomi mara nyingi hutamani sana kuwa na mtoto..
alijibu natamani sana tena natamani mtoto wa kike
mie nikajibu,hilo mbona dogo mi biology nlikua njema jmosi njoo kwangu ntakuelekeza vizuri..
majibu ikawa jmosi atafika kwangu.

kilichonifanya nifike kwenu naombeni mnipige msasa juu ya kupanga jinsia ya mtoto kutokana na mzunguko wa mwanamke ili akije nimpe elimu na mimba azae jike coz yupo tayar kuzaa na mimi..

mwisho.
 
Maelezo utakayopata yatakuchanganya tu,huwa hayako clear,no wonder watoto wanachagua kusoma masomo ya arts tu.Porojo ni nyiiingiii hadi utasahau anayekuelezea namna ya kupata mtoto kwa jinsia unayotaka,labda hakuelewa swali.Nimewahi kujibiwa hovyohovyo tu.
 
Back
Top Bottom