Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa lo wanajitafutia presha za rejareja tu !Binadamu wanaochunguza au kuwachunga wanawake nawaoneaga huruma sana...
Swertheart mimi sikuchunguzi ila ukifanya ujinga hua najua...Kabisa lo wanajitafutia presha za rejareja tu !
Santo sana
Obviously ni utoto unakusumbua,any way kua kwanza kwa sasa ni haki yako kuandika unayoandika.Nikufichulie siri tu kuna baadhi ya meseji nilikua namsaidia kumjibia...maana hawezi kuugulia utamu wa rungu huku anasoma malalamiko yako
Wewe,utakua upinde au bado ni mvulana,No wonder una marangi rangi
Basi mimi ni mwanaume toleo jipya ishi humo as long as nakula vitu legalObviously ni utoto unakusumbua,any way kua kwanza kwa sasa ni haki yako kuandika unayoandika.
Mwanaume kamili haezi andika kitu kama ulichoandika hapo juu inajenga mashaka kiasi
Ndio tabu ya kuanza mapenzi ukubwani.Huu ni ushamba au ni nini? wanawake wapo kibao tunapita nao kila kukicha! unakuja hapa unabrag? Mataahira yapo mengi ww ni mmoja wao
Pokea simu basiNa wewe unataka
Ni kawaida kula pisi mzee, na kila pisi unayokula sio yako peke yakoHuu ni muendelezo tu kaka ....
Pokea kwanza utajua....Unataka kunipakazia ujauzito nini....? Mbona upo mbio sana
Wewe ni jiniaz sana!Swertheart mimi sikuchunguzi ila ukifanya ujinga hua najua...
Mara kibao unaniulizaga nimejuaje ila nakaa kimya hahaha...