Ni Simba koko FC au Panya SC?

MWAKA JANA KULIKUWA NA TETESI KUWA KUNA KIONGOZI WA SIMBA ALIKAMATWA AKIPULIZIA DAWA KWENYE VYUMBA VYA WACHEZAJI WAKATI WA MAPUMZIKO. KAMA ILIKUWA NI KWELI:-
- JEE KIONGOZI HUYO NI NANI NA KWA NINI HAJATAJWA HADHARANI MPAKA LEO ILI KUKOMESHA HUJUMA KAMA
HIZO?
- JEE KIONGOZI HUYO BADO YUPO MADARAKANI NA KAMA BADO YUPO MADARAKANI JE HAWEZI KUBADILISHA STAILI
YAKE HUJUMA?
- JEE UONGOZI BAADA YA KUMGUNDUA ULICHUKUWA HATUA GANI STAHIKI?

MASWALI YOTE HAPO JUU YANAKUJA KWA SABABU UKIANGALIA SIMBA ILIKUWA KWENYE MOTO MKALI LAKINI BAADA TU YA MAPUMZIKO KUPISHA YANGA NA AZAM KUMALIZIA VIPORO VYAO SIMBA ILIKUJA KUWA UCHOCHORO WA AJABU. WACHEZAJI WAKAWA HAWANA MORALI, WANACHEZA KAMA WAMELAZIMISHWA UTAFIKIRI WAMEFUNGWA MAWE MIGUUNI.
 
........Kama ungekuwa shabiki wa wa team ya matopeni katika nyakati kama hizi ndio ungekiri kuwa aliyeanzisha SUMU hakuwa mjinga.. Kama unabisha waulize wenyewe
 
Kwangu upo sahihi sana kuna siku penye uzi wetu wa yanga niliwahi kuandika kuhusu mafanikio haya ya hivi karibuni ya yanga nikasema jamani pamoja na haya je timu zetu hizi kongwe zinastahili kuwa hapa?timu hazina sources of income ambazo ni sustainable nikasema siku manji akikaa pembeni je hali itakuwaje?mitaji mikubwa sana hizi timu inazo nao ni wapenzi na mashabiki ukiweza hata kushawishi wapenzi kununua gazeti la yanga imara au ngurumo za simba kwa tshs 500 wapenzi wakaeleweshwa pata hata watu laki 3tanzania nzima je wanakosekana?leo mtu yupo khiari avae jezi ya united au liverpool why?viongozi wetu wana katisha tamaa timu hazieleweki bado tuna safari ndefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…