Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,296
- 18,027
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tumepigwa kumbo baya sana..............................ila ukipanda mchongoma kushuka ndio ngoma, Grafani atarudi tu madhali JF bado ipo hai
wakimpa MO, Hans Pope atahujumu, wakimpa Rage; Friends watahujumu, wakimpa Wambura Rage atahujumu...................its a cycle of sabotage
Manji analipiza maana makapi ya simba yametumika sana Yanga akina Chuji, Nurdin, Kaseja, etcmkuu...wewe acha tu...Rafiki zangu kina Amavubi nilikuwa nawaambia tangu mwaka jana ...Simba hii bila kubadili mfumo wa uendeshaji tutaumia sana.
Hata hivyo Simba na Yanga hazina tofauti katika mfumo wake...isipokuwa tu kwa sasa pesa za manji zimeituliza timu
Manji analipiza maana makapi ya simba yametumika sana Yanga akina Chuji, Nurdin, Kaseja, etc
mkuu hata picha huwezi kutafsiriMkuu manji analipiza kivipi?
mkuu hata picha huwezi kutafsiri
ukitaka kuelewa angalia video ya Kessy na Ngoma .................hapana mkuu...mimi naomba unieleweshe ili tuwe na mjadala mpana
ukitaka kuelewa angalia video ya Kessy na Ngoma .................
basi tuseme tumechanganyikiwa ..........................ila kwa Kessy kasumbua kidogo na hata angewekewa masilahi yake asingekaa, nahisi suala lake hujalifuatilia kwa karibu sana na mimi nina bahati ya kuwa karibu na wachezaji na viongozi..............Kessy alianza kusumbua siku nyingi sana na hata siku ya RED Card hakutaka kabusa kukaa vyumbani na kwa taarifa yako Yanga walishamalizana na Kessy siku nyingi hata kwa hiyo picha uliyoona..........kifupi maisha yalishakwisha kwa Kessy pale Simba hakukua na namnamkuu kwani kipi kinakushinda kufunguka hapa?
Kessy sisi wenyewe tumeshindwa kujali mkataba tulioingia naye....Hatukumtimizia hadi pale alipoanza kuweka presha na kugoma kwenda Mwanza na team ili alipwe pesa zake....Kwa upande wako naona yuko sahihi kwa sababu ni haki yake ile.
Kwa msingi huo tume m frustrate sisi na pia ni sisi tumemfukuza
Lakini pia angalia maslahi mapana ya wachezaji...hajajaliwi
labda mimi sijakuelewa mkuu...na sijaelewa zaidi kuhusu ngoma
Kwa sababu kama ni pasi ile hayo mambo ni ya kimpira na huwa yanatokea mara nyingi tu....Tukubali viongozi wameiharibu timu na tuache visingizio...kwani tulipofungwa na mwadui kessy alikuwepo?
basi tuseme tumechanganyikiwa ..........................ila kwa Kessy kasumbua kidogo na hata angewekewa masilahi yake asingekaa, nahisi suala lake hujalifuatilia kwa karibu sana na mimi nina bahati ya kuwa karibu na wachezaji na viongozi..............Kessy alianza kusumbua siku nyingi sana na hata siku ya RED Card hakutaka kabusa kukaa vyumbani na kwa taarifa yako Yanga walishamalizana na Kessy siku nyingi hata kwa hiyo picha uliyoona..........kifupi maisha yalishakwisha kwa Kessy pale Simba hakukua na namna
kwa hio mkuu ni sahihi kumwangushia kessy mzigo wa performance mbovu ya timu kwa misimu minne?
tuwe realistic kidogo
misimu yote minne ni makosa ya kessy?partly and to a very marginal extent, unapokuwa tegemeo na ukakosekana ama kuigharimu timu to some extent kama Kessy, kumbuka amekuwa na mchango mkubwa sana na kwa mechi alizogomea ama kadi zilizoigharimu timu na makosa kadhaa ambayo umeyaita ya kimpira na partly NOT kwa sababu ukiangalia timu ilisambaratika baada ya kushinda mechi 12 mfululizo na mechi iliyotutoa shobo kabisa ni mechi ya Toto tukitoka kufungwa na Coastal FA. Kocha amefanya wachezaji kutafuta visingizio vya kumwangushia jumba bovu kutokana na kudhibiti nidhamu, majeruhi ya wachezaji tegemeo huku timu ikiwa haina super sub, wapenzi kugawanyika wakisakama uongozi badala ya kuangalia uhalisia wa timu uwanjani, usajili ambao haukuwa wa kiwango cha Simba (angalia Kiongera, Majwega, Fakhi, Samih Nuhu aliendoka, Ugandi ambaye bado sana, Mwalyanzi, etc) kusambaratika kwa uongozi wa makundi na hata huenda ahenda ya MO imechangia pia mkuu
TUNAJADILIANA..............
misimu yote minne ni makosa ya kessy?
mfumo wa usajili simba ukoje?
tujadiliane
Kila zama na KITABU CHAKE,
MFUMO;
Kuna kamati ambayo ni de facto sio de jure kwa maana kwamba kuna monopolization ya mandate inayotokana na single source of funding maan the rest ni opportunists, source hapo ni Hans ambaye pia ndiye mwenyekiti na ana sole mandate ya kumkubali mchezaji, Aveva aliingia na mikakati mizuri sana ya kufanya Klabu iwe dependent kwanza kuanzia na mtaji wa wanchama lakini leo hii hata ada ya kadi za wanachama hawajapeleka kwa mchapaji maana yake hapo plan A imefeli..............hata utekelezaji wa Strategic Plan nayi imefeli so safari ni ndefu sana na hasa maisha yanavyobana maana hata hiy single source huenda ikakata tamaa au kukoswa fedha..............
Tukiweza kupata wachezaji ambao ni independent from sole mandate tutakua katika mfumo bora zaidi......tulipotea njia pia kuiga uwekezaji wa wachezaji wa kigeni badala ya ule mfumo tulioanza nao wa vijana ambao ndio hao wapo Toto, Mwadui, Kagera, Ndanda Coastal nk na ndio wanatusumbua kwenye ligi
kifupi siioni simba ikirudi kwenye ubora wake in the next two three four years to come kama hakutakua na paradigm shift ya nguvu sana
Yanga si ccm uliwahi wapi kuona ccm ikishindwa? Hawa ndio wakitaka kwenda mapumzikoni wakati ligi inaendelea wanaweza, hawa ndio hawatakiwi kufungwa na waarabu wa Tanga kulikoni wafungwe bora refa aonekane anamakosa na kupewa adhabu kufungiwa kwa kutomudu mchezo pamoja na washika vibendera lakini ushindi wanapewa ccm, ni hawahawa wanaweza kuamua kubadilisha uwanja wa mechi yao ya mwisho bila kuangaliwa vifungu vya sheria. Ligi hii ya bongo kelele ni nyingi ila mkienda nje mnarudi wajawepesi.
hata utekelezaji wa Strategic Plan nayi imefeli so safari ni ndefu sana na hasa maisha yanavyobana maana hata hiy single source huenda ikakata tamaa au kukoswa fedha..............