Ni Simba SC ipi kati ya zifuatazo iliyoshinda Jana dhidi ya Nyasa Big Bullets FC kule Malawi?

Ni Simba SC ipi kati ya zifuatazo iliyoshinda Jana dhidi ya Nyasa Big Bullets FC kule Malawi?

kuna movie inaitwa MR GLASS kuna mwamba huko ana personalities kama 7 na anazitendea haki kwelikweli, popoma ana hii account ana ile ya kumtukana matola usishangae akafungua nyingine ya kumsifia matola
PERSONALITY DISORDER YA HALI YA JUU
 
Na uyo mgunda wenu siku sio nyingi mtaanza kumkataa ni suala la muda tu na yeye alivyoingia kwa mikwara kama yote utadhani ni morinho ametua bongo, ngoja apelekewe moto mechi 2 wale waliomkataa matola watamgeukia mgunda ataondoka bila kuaga hizi timu presha zao sio za kitoto ni bora angebaki uko uko coast union
Kwani si anasimamia mechi mbili tu ndugu, tatizo ni nini?
 
Kuna Mru hapa JamiiForums asiyefahamu kuwa The Hated Zanaki, Makuwa and Tutsi Genius GENTAMYCINE alikuwa BANNED?

Wamekuomba urejee Kuwakumbusha au ni Kiherehere chako tu?

Sina ID nyingine hapa JamiiForums zaidi ya hii Super Brand ID yangu ya GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' sawa?
Ila hicho kibwagizo cha jina hapo chini si mchezo, yaani ni weka tuweke. Sio mbaya fella karibu tena uwanjani
 
A. Simba SC ya Mgunda?
B. Simba SC ya Matola?
C. Simba SC ya Wachezaji wa Kufurahia Kuondoka kwa Kocha Maki?
D. Simba SC ya Wachezaji Wenyewe kuamua Kuwajibika na Kujitoa kuipigania Jezi?

IMG_3136.jpg

Utaondoka wewe na wengine lakini Sio Matoka Kaka….
Over…[emoji1787][emoji30]
 
A. Simba SC ya Mgunda?
B. Simba SC ya Matola?
C. Simba SC ya Wachezaji wa Kufurahia Kuondoka kwa Kocha Maki?
D. Simba SC ya Wachezaji Wenyewe kuamua Kuwajibika na Kujitoa kuipigania Jezi?
Mambo ya Simba we hayakuhusu, pambana na ya kwenu huko utopoloni
 
Back
Top Bottom