Ni simu gani hutakaa utumie?

Ni simu gani hutakaa utumie?

trojan92

Member
Joined
May 18, 2024
Posts
91
Reaction score
276
Ni simu aina huta diriki kununua tena au hata ukipewa bure hutaki kabisa kuisikia?
1000073080.jpg
 
Simu yoyote natumia ilimradi tu imekizi viwango vya matumizi na haina mdhara.iwe itel,tecno,infinix,nokia,motorola,sony,iphone na nyingine zote maisha hua yanabadilika ukijipa ubosi kesho yako huijui unaweza hata kutumia kisimu kimefungwa mpria ili betri isianguke🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom