Ni simu gani hutakaa utumie?

Zinashida Gani? Niliona zinalowekwa kwenye maji mara zinadondoshwa. Chini na zohoro matelephone nikaona hizi Zina mfaa mzee wangu huko majarubani! Zina shida Gani nisije jichangana
Zahoro naye mtu wa kumuamini?

Hazina shida kama utaitumia kwenyr kupiga na kupokea simu, kwa wazee huko vijijini zinawafaa sana.

Ila kwa wewe kijana wa mujini, hazitakifaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…