Ni simu gani unayotumia sasa?

Ni simu gani unayotumia sasa?

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629
Mimi natumia Samsung A50, wewe unatumia simu gani?

Screenshot_20241130-231928_DNA Launcher.jpg
 
Ukiona bado upo kwenye mijadala ya aina ya simu unayotumia ujue bado una safari ndefu sana!
Na wewe kule kwenye jukwaa la wimbo gani unaosikiliza sasa hivi mbona upo sana kule mkuu ?

Au kuna uzi wowote wa maana umeshawahi kuweka humu ?

Punguza mikazo kwenye baadhi ya mambo hasa humu mitandaoni, kila mtu ana maisha yake
 
Back
Top Bottom