Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
Hapana Oda hajapumzika, manga took just a 2 weeks break kwa sababu za kiafya, but anime(toei studio) ndio imechukua hio likizo ya miezi sita kuboresha pacing na animation.Dam oda ameamua kupumzika sasa , nilikuwa nakomaa na kengan ashura, tokyo revengers na eminence in shadow nikajikuta nimeisahau kabisa.
imagine nipo zou arc
Eee eee ee i wandaMy lowd, I wonder
Simu jiwe nimedunda nayo sana ina speaker,, na kioo kikali sanas9 ni simu mzee nime upgrade ila bado nakapenda sana kale kasimu kagumu mnoo
kuna manga ukisoma kisha ukaja kuangakia anime yake hautaki tena kurudi kuisoma mfano "ufotabo animations " walivyoipika demon slayer nimeshindwa kuendelea na manga nasubiri watoe mugen castle tu hakuna namna .Hapana Oda hajapumzika, manga took just a 2 weeks break kwa sababu za kiafya, but anime(toei studio) ndio imechukua hio likizo ya miezi sita kuboresha pacing na animation.
But kwa sisi wasomaji wa manga hamna kilichoharibika, gurudumu linaendelea.
Siemens c35
Ipo siku tutakutana na mada humu zinauliza ulitahiriwa kienyeji au hospitalBaadhi ya mada hapa JF are just for fun. Don't take them too seriously.
Sana samsung pale walikaa wakatuliza medula kuiandaa ile simu hizi wanazotoa sasa hivi ni kwa sababu ya competition tu optimization ni very poor.Simu jiwe nimedunda nayo sana ina speaker,, na kioo kikali sana
Hiki chuma ni kile kabla ya huawei kupigwa sunction na USA?View attachment 3166220HUAWEI P30
My road, I wanda!
Umeniwahi 😂My lowd, I wonder
A50 ya 2019
Jamna mbn mnatusakama Mimi na Tecno langu spark 10 mbn natamba😃😃
Tekno mkuu🤣🤣🤣
NaiombaNokia -Kiswaswadu
Siemens C35.