Ni simu gani yenye sifa hizi?

Ni simu gani yenye sifa hizi?

Hio video ya Mrwhotheboss imemiss details nyingi sana mkuu.



Skip mpaka 9:19 video comparison, jamaa ametumia kigezo kizuri mawingu (comparison za camera hufanywa hivi kwa kitu ambacho watu wote tunakijua), pia ana stabilization nzuri kwenye circus.

Pia mwisho kabisa wa video kwenye night time video japo vivo alikuwa ni clear winner kwenye night time Unaweza ukaona stabilization s21u ilikuwa smooth zaidi.

All in all Mkuu camera yake nzuri sana nilikuwa sifahamu hili, ipo same level na hayo makampuni makubwa. Sema uchina bado upo hasa kwenye ku apply hizo filter za ngozi.
Hiyo series ya Vivo nimeanza kuifatilia tangu Vivo X50 pro mwezi huu wanarelease vivo x70 pro plus.

Maboresho huwa ni makubwa sana kwenye kila toleo wanalotoa.

Mfano X50 ilikuwa kawaida. Zaidi zaidi waiintroduce hiyo gimbal camera system.

X60 wakaja wakapartiner na Zeiss. Hiyo camera ikasifiwa sana Kwenye Bokhe na stabilization. Hata kwenye quality ya picha bado inasumbuana na smartphones nyingi sana. Hata we mwenyewe kwenye comparison utakuwa umeona.

Ngoja tusubiri hiyo X70 pro plus.
 
Hiyo series ya Vivo nimeanza kuifatilia tangu Vivo X50 pro mwezi huu wanarelease vivo x70 pro plus.

Maboresho huwa ni makubwa sana kwenye kila toleo wanalotoa.

Mfano X50 ilikuwa kawaida. Zaidi zaidi waiintroduce hiyo gimbal camera system.

X60 wakaja wakapartiner na Zeiss. Hiyo camera ikasifiwa sana Kwenye Bokhe na stabilization. Hata kwenye quality ya picha bado inasumbuana na smartphones nyingi sana. Hata we mwenyewe kwenye comparison utakuwa umeona.

Ngoja tusubiri hiyo X70 pro plus.
yah zeiss wapo njema, hivyo lens lazima iwe kali, kwenye low light pia walikuwa vizuri sana (stabilization)
 
Msaada wakuu nataka kununua galax note 8 nahitaji kujua kama yenyewe au ndo za kisumbua sumbua mtandao
IMG_20210924_160203_137.jpg
View attachment 1950957
 
Habari, ningependa kujua model ya simu ambayo inaweza ku-record video zenye quality nzuri.
- preferably those with video stabilizer( stabilization)

* Brands : Xiaomi, Oppo, One Plus, etc.
Sorry, iphone is not my preferred brand.

Your help pls.
One Plus
 
Habari, ningependa kujua model ya simu ambayo inaweza ku-record video zenye quality nzuri.
- preferably those with video stabilizer( stabilization)

* Brands : Xiaomi, Oppo, One Plus, etc.
Sorry, iphone is not my preferred brand.

Your help pls.

Unakataa iPhone ilihali hadi sasa hakuna simu inayoweza kurecord video nzuri zenye quality zaidi ya iPhone flagship
 
Unakataa iPhone ilihali hadi sasa hakuna simu inayoweza kurecord video nzuri zenye quality zaidi ya iPhone flagship

nani kakudanganya!!!

mpakaa dakika hii samsung ya mwaka jana haijaonyeshwa upinzani wowote na 13 ya mwaka huu.
si kwa slow motion wala stability.
 
nani kakudanganya!!!

mpakaa dakika hii samsung ya mwaka jana haijaonyeshwa upinzani wowote na 13 ya mwaka huu.
si kwa slow motion
nani kakudanganya!!!

mpakaa dakika hii samsung ya mwaka jana haijaonyeshwa upinzani wowote na 13 ya mwaka huu.
si kwa slow motion wala stability.
Samsung gani ambayo inarecord ProRes RAW video !?
 
Samsung gani ambayo inarecord ProRes RAW video !?
Prores ni brand name ya Apple, ni kama mimi nikuulize ni simu gani ya Apple inaitwa IPhone Galaxy.

Prores ni codecs za Apple

Na kazi ya codec ni kucompress hizo picha kuwa ndogo ili size ipungue. Hivyo ina make sense ku compare kitu kama hichi kwa simu zenu zisizo na memory card, kama mtu ana simu ina memory card ama storage kubwa 512mb ama 1TB pengine hata asijali.

Unaweza ukaona hapa gsmarena ana test

Njia ya kawaida ya Jpeg ilikuwa ni Much superior kwa prores. Hivyo samsung halack chochote kwa kuwa na raw za kawaida
 
Prores ni brand name ya Apple, ni kama mimi nikuulize ni simu gani ya Apple inaitwa IPhone Galaxy.

Prores ni codecs za Apple

Na kazi ya codec ni kucompress hizo picha kuwa ndogo ili size ipungue. Hivyo ina make sense ku compare kitu kama hichi kwa simu zenu zisizo na memory card, kama mtu ana simu ina memory card ama storage kubwa 512mb ama 1TB pengine hata asijali.

Unaweza ukaona hapa gsmarena ana test

Njia ya kawaida ya Jpeg ilikuwa ni Much superior kwa prores. Hivyo samsung halack chochote kwa kuwa na raw za kawaida
Acha kudanganya watu, ingelikuwa codec za ProRes za kawaida kuliko hizi RAW nyingine unafikiri kwa nini ziwekwe kwenye kamera professional za kisasa wanazotumia kuchukulia movies!? Na kwa nini ndo latest codec kutumiwa kwenye kila kamera ya kisasa!?
 
Acha kudanganya watu, ingelikuwa codec za ProRes za kawaida kuliko hizi RAW nyingine unafikiri kwa nini ziwekwe kwenye kamera professional za kisasa wanazotumia kuchukulia movies!? Na kwa nini ndo latest codec kutumiwa kwenye kila kamera ya kisasa!?
Nimekupa link hapo juu test imefanywa na Prores ya iphone ipo inferior kwa traditional Raw ya kawaida ya kila siku, kuniumbua na uongo wangu ulitakiwa na wewe ulete test inayoonyesha tofauti, matokeo yake unaleta maneno matupu.

kila camera ya kisasa ina Prores? Unaweza kulithibitisha hili? Blackmagic wana codec zao, Canon ana codec zake, Nafkiri redmagic pia etc.

Na mkuu ungejua maana ya codec tu wala tusingekuwa tunabishana hapa, codec yoyote ile duniani inapunguza Quality, faida ya codec ni kupunguza size, mfano quality ya video inaweza pungua asilimia 10 na size ikapungua toka gb 50 mpaka 4.

Hivyo ina faida yake hio Prores kwa mtu ambaye ana Budget storage, ama ni mtu wa kawaida tu anashoot harusi kukiwa drop ndogo ya quality haimuathiri otherwise huhitaji compression Kwa mtu anayejielewa na utahitaji kitu kiwe as natural as possible kama Kuna editing ni baadae.
 
Back
Top Bottom