Ni suala la muda tu: CCM itabaki kuwa ya wanawake

Ni suala la muda tu: CCM itabaki kuwa ya wanawake

Admin1988

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2017
Posts
1,603
Reaction score
1,848
Habari zenu wakuu?

Kwa kauli za Rais Samia jana sikuzifurahia kabisa, kwani ni za kibaguzi.

Hazina tofaugi na kauli za kidini kama ile aliyoitoa Lowassa akiwa KKT Tabora 2015.

Katiba yetu ya JMT ibara ya 13(2), (4)(5)(6) na ibara ndogo (a) mpaka (e).
zinakataza mamlaka yoyote kuweka ubaguzi dhahiri au kwa taathira yake.
Chini ya sheria Na.4 ya 1992 ib.8 zikisomwa kwa pamoja na sheria Na.3 ib.3 ya 2000.

Sasa kwanini Katiba inavunjwa?

Nashaurinwashauri wa mama wampe maneno ya kusema.

Kuna watu hata ndani ya chama cha mapinduzi wanausaka Urais naona kawanyooshaView attachment 1940069
IMG-20210915-WA0013.jpg
 
Tayari mkuu CCM imekuwa ya umama, wanaongea umama mtupuu siku hizi. Ni ajabu kumuona mwanaume anashabikia umama mama tuu.

Msifikiri wazee wa Zamani waliwazuia wanawake wasiende shule walikuwa wajinga. They knew that once these people get power they're finished.Even the Bible says that a woman hasn't given power to lead a man.
 
Ni haki yake, maana mwaka 2025 itakuwa ndiyo awamu yake ya kwanza, mwaka 2030-2035 ndiyo atakuwa anamalizia vipindi vyake viwili vya wanawake kumuweka madarakani. Sasa kama hii awamu ilikuwa niyakudra... basi aliyepo madarakani ni rais kudra. Rais anatakiwa kuanza awamu ya sita mwaka 2025, haya mengine ni vionjo vya kijiweni
 
Halafu myanaume ya CCM bana sijui ikoje au ni sio ridhiki. Mwanamke anatamba kabisa eti uchaguzi ujao wanaume hawana Chao huko CCM halafu yenyewe yanang'aza sharubu tuu yamefyata makasesera yao Kama mazuzu

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Mkuu kwenye kulinda ugali utamnyenyekea hadi mtoto wa miaka 5 kisa ni mtoto wa bosi......
 
Accident president, au Rais wa mpito!
Kila siku anaongea kuhusu jinsia yake, sijui ni tamu sana?
Miezi sita bado anajifunza kazi ya urais!

Huyu ndiyo Rais wa mwisho Tanzania mwanamke!
Wala asitambe, amebebwa na katiba iliyoandikwa na wanaume!

Nakuhakikishia urais wa kurithi unaisha 2025 alafu wenye nchi yao wanaingia Ikulu kupiga kazi siyo umbea
 
Back
Top Bottom