Ni suala la muda tu: CCM itabaki kuwa ya wanawake

Ni suala la muda tu: CCM itabaki kuwa ya wanawake

Okay let's see! Kwenye chama chake kuna mpasuko mkubwa mno. Hiyo ni shida tayari, pia mbona 2030 sio mbali??
2030 sio mbali na tuko 2021 hahaaaaa mkuu una utani, sidhani kama waliompigia na kumpa nguvu ndani ya chama chake watamgeuka,na kama kuna mpasuko she still got time to amend things,ubaya anajiamini..hicho ndio kinachowafanya muweweseke, tumekaa na marais wanaume wanakaa term mbili tongea uhuru, leo mwanamke akitaka kukaa urais kipindi kingine imekua tabu??!!
 
2030 sio mbali na tuko 2021 hahaaaaa mkuu una utani, sidhani kama waliompigia na kumpa nguvu ndani ya chama chake watamgeuka,na kama kuna mpasuko she still got time to amend things,ubaya anajiamini..hicho ndio kinachowafanya muweweseke, tumekaa na marais wanaume wanakaa term mbili tongea uhuru, leo mwanamke akitaka kukaa urais kipindi kingine imekua tabu??!!
Hakuna aliyempigia, ni katiba imemuweka hapo, kifupi hajachaguliwa na Watanzania.
 
2030 sio mbali na tuko 2021 hahaaaaa mkuu una utani, sidhani kama waliompigia na kumpa nguvu ndani ya chama chake watamgeuka,na kama kuna mpasuko she still got time to amend things,ubaya anajiamini..hicho ndio kinachowafanya muweweseke, tumekaa na marais wanaume wanakaa term mbili tongea uhuru, leo mwanamke akitaka kukaa urais kipindi kingine imekua tabu??!!
Sio tabu, hatutaki jinsia tunataka maendeleo yaonekane. Jinsia haituhusu ni yake. Hivi wewe ni kipofu? Mbali na JK na wachache wengine, fanya tathmini ndogo utaona huyu Hangaya alivyokuwa rejected, kuanzia ndani ya chama na nje ya chama. Kifupi hapendwi, sio wanawake wala wanaume, wote hawampendi.
 
Hakuna aliyempigia, ni katiba imemuweka hapo, kifupi hajachaguliwa na Watanzania.
Whatever means alizotumia kufika hapo anajua atatumia nini kuwa Rais, Kama ni kura mwacheni agombee wananchi ndio wataamua, nyie shida yenu nini????..mtu apimwe kwa perfomance yake sio kisa mwanamke au mwanaume..kwa kifupi hamna hoja!
 
Sio tabu, hatutaki jinsia tunataka maendeleo yaonekane. Jinsia haituhusu ni yake. Hivi wewe ni kipofu? Mbali na JK na wachache wengine, fanya tathmini ndogo utaona huyu Hangaya alivyokuwa rejected, kuanzia ndani ya chama na nje ya chama. Kifupi hapendwi, sio wanawake wala wanaume, wote hawampendi.

Leta evidence she is rejected material?? anyway na hii rejection kama ipo ina matter?? whether you like her not she is there to stay....tena ana haki ya kugombea kama mtanzania mwingine yeyote
 
Mama amejua kuzichanga karata vyema....

Hana maana kuwa amewatenga WANAUME...

Akina mama ndio wapiga kura....

Isisahaulike mh.Rais analenga "women empowerment"....na si kosa.....

SIEMPRE CHIFU MKUU HANGAYA aaamin 🙏
 
Whatever means alizotumia kufika hapo anajua atatumia nini kuwa Rais, Kama ni kura mwacheni agombee wananchi ndio wataamua, nyie shida yenu nini????..mtu apimwe kwa perfomance yake sio kisa mwanamke au mwanaume..kwa kifupi hamna hoja!
Usiseme 'nyie', hata sisi ni wananchi. Hakuna anayebeza jinsia, tunataka maendeleo hatutaki jinsia, jinsia inatuhusu nini sasa? Ingia fb, tweeter, IG na kote utaona jinsi ambavyo hapendwi. Kama haitoshi pita hata mitaani fanya research ndogo utagundua hapendwi, yaani nyota hana ni kama inafifia mno.
 
Leta evidence she is rejected material?? anyway na hii rejection kama ipo ina matter?? whether you like her not she is there to stay....tena ana haki ya kugombea kama mtanzania mwingine yeyote
Ni kweli ana haki, evidence ni hii. Ingia fb, mtandao wenye watu wengi mno ikiwemo Watanzania wengi. Halafu fuatilia post zinazomhusu mama, angalia comments utajua hapendwi. Ukitoka hapo nenda hata tweeter! Mambo si mambo, kikubwa abadili mfumo huu tu, ana nafasi ya kujirekebisha. Namtakia mema pia, ila hali ikiendelea hivi, She is done!
 
Mama amejua kuzichanga karata vyema....

Hana maana kuwa amewatenga WANAUME...

Akina mama ndio wapiga kura....

Isisahaulike mh.Rais analenga "women empowerment"....na si kosa.....

SIEMPRE CHIFU MKUU HANGAYA aaamin [emoji120]
Yes si kosa hata kidogo, ila hali ikiendelea kuwa mbaya hivi She is done!
 
Usiseme 'nyie', hata sisi ni wananchi. Hakuna anayebeza jinsia, tunataka maendeleo hatutaki jinsia, jinsia inatuhusu nini sasa? Ingia fb, tweeter, IG na kote utaona jinsi ambavyo hapendwi. Kama haitoshi pita hata mitaani fanya research ndogo utagundua hapendwi, yaani nyota hana ni kama inafifia mno.

Eti hakuna anayebeza jinsia, sijui kama hata unaelewa una comment kwenye thread gani?, pili sijaelewa tatizo lako ni nini kama hapendwi, anapendwa wache watanzania wachague, sipitagi huko twitani,ila mtaani hapa kwetu sijaona mwenye matatizo na mama,pole na chuki zako
 
Ni kweli ana haki, evidence ni hii. Ingia fb, mtandao wenye watu wengi mno ikiwemo Watanzania wengi. Halafu fuatilia post zinazomhusu mama, angalia comments utajua hapendwi. Ukitoka hapo nenda hata tweeter! Mambo si mambo, kikubwa abadili mfumo huu tu, ana nafasi ya kujirekebisha. Namtakia mema pia, ila hali ikiendelea hivi, She is done!

Wait until she is done ndio upige kelele,kwa sasa hivi tulia tu huna cha kufanya, and second huku twitani na ulimwengu wa watanzania ONLINE is just a fraction ya watanzania wote, wengi hawapigagi kura, nenda huko vijijini ufanye analysis yako uone mama ana nguvu gani!
 
Wait until she is done ndio upige kelele,kwa sasa hivi tulia tu huna cha kufanya, and second huku twitani na ulimwengu wa watanzania ONLINE is just a fraction ya watanzania wote, wengi hawapigagi kura, nenda huko vijijini ufanye analysis yako uone mama ana nguvu gani!
Sasa kwa taarifa yako, research yangu local tu vijijini na hapendwi sasa, ukiona mpaka wanawake wenzake wanamchukia hii ni shida!
 
Wait until she is done ndio upige kelele,kwa sasa hivi tulia tu huna cha kufanya, and second huku twitani na ulimwengu wa watanzania ONLINE is just a fraction ya watanzania wote, wengi hawapigagi kura, nenda huko vijijini ufanye analysis yako uone mama ana nguvu gani!
Nguvu anayo ila bado ni dhaifu, kwa ushahidi niliokupa.
 
Eti hakuna anayebeza jinsia, sijui kama hata unaelewa una comment kwenye thread gani?, pili sijaelewa tatizo lako ni nini kama hapendwi, anapendwa wache watanzania wachague, sipitagi huko twitani,ila mtaani hapa kwetu sijaona mwenye matatizo na mama,pole na chuki zako
Sina chuki na yeyote, kwa hiyo mtu ukikosoa ni chuki? Nimeshasema kuwa asilete ujinsia, ni sumu. Yeye anataka agombee kwa kigezo cha jinsia. Kumbe wewe ndio huelewi unacho-comment! Yaani unajikanyaga.
 
Sasa kwa taarifa yako, research yangu local tu vijijini na hapendwi sasa, ukiona mpaka wanawake wenzake wanamchukia hii ni shida!

hahaaaa sikuamini umefanya research yako vijijini,acha uongo mkuu.....hahaaaaaaaaaaaaaaaaa bye
 
hahaaaa sikuamini umefanya research yako vijijini,acha uongo mkuu.....hahaaaaaaaaaaaaaaaaa bye
Sio lazima nifanye mimi, vipi kama nikiwaweka watu? Unaelewa maana ya utafiti? Kwa hiyo ndio hivyo, akiendela hivi atajijengea maadui hata kwenye chama chake na hatotoboa. Akibadilika atatoboa. Tunawekana sawa tu hakuna mwenye chuki.
 
Back
Top Bottom