raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Hata waafrica waliozaliwa ulaya ambao hawajadanganya umri wakifika 30 soka la ushindan linawashinda tofauti na ngozi nyeupe wanasogeaga mpka 35Ni kweli mkuu inawezekana wanacheza na namba za umri
Na ukichangia na ile gengen press ya liverpool inawezekana umewahi kumchosha