Amran Mpogole
Member
- Oct 2, 2022
- 29
- 26
Kuvuta na kumwagilia moyo kiukweli majirani wanisamehe siwezi isaliti hii tabiaNi ipi tabia ambayo unajua zaidi ni mbaya kwa watu lakini unaipenda na ngumu kuacha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuvuta na kumwagilia moyo kiukweli majirani wanisamehe siwezi isaliti hii tabiaNi ipi tabia ambayo unajua zaidi ni mbaya kwa watu lakini unaipenda na ngumu kuacha
Kwenye safari nikiona unaniongelesha ongelesha najidai nimelala hata kama sina usingizi
Hahah... unatakiwa ukipiga hiyo chabo yako na ww uwe una practise na utafanya vzr kwani una ki2 cha kukupa hisia muda wote unaotaka.Mi Ni mpiga chabo hatari mazee, Yaani napenda Sana kuwasikiliza watu wakifanya sex afu miguno ya mwanamke anayeliwa ndo huwa inaniacha hoi.Huwa najiskia vizuri Sana ninapowapiga watu chabo kuliko Mimi mwenyewe ninapofanya tendo na mwanamke.
Kuna muda naweza mletea mshikaji wangu demu mida ya usiku amnyandue ili Mimi baadae ninyatie niwapige chabo nipate Raha ya moyo wangu.
Huu uraibu Ni mbaya Sana na Ni tabia ya hovyo Sana na nimepanga kuachana nayo mwishoni mwa mwaka 2025.
Hmmmkukojoa alafu nadanganya sijakojoa ili niunganishe humohumo!
Ameshaona na ameongea upupuuNaomba Mungu mzabzab asiuone huu uzi kwa sababu najua ataongea kitu cha ajabu sana.
Kujamba kwenye watu wengi halafu nakuwa wa kwanza kuuliza Nani kajamba?Ni ipi tabia ambayo unajua zaidi ni mbaya kwa watu lakini unaipenda na ngumu kuacha
Choo chochote kile cha kukaa hua nakojoa matako juu juuNi ipi tabia ambayo unajua zaidi ni mbaya kwa watu lakini unaipenda na ngumu kuacha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee em sema kweli.