[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hatari sana!Bas anza wewee[emoji28]
Kucheza kamari (kubet)
Kukaba watu
Kutapeli wanaume wa mkoani pale sokoni Karume
Kununua wadada telegram
Kutumia bangi
Kuwasema walokole
Nataka niache kulima cannabis sativa kule mbinga
Kutukana majirani kwa jambo dogo
Kunya kwenye mfuko na kutupa barazan kwako bila kujua kama umenikosea
Kushinda sana vijiweni
Ameen mkuuNakuombea ufanikiwe mkuu maana list sio ya nchi hii[emoji38]
Ameen mkuu
Hakika mi na walokole mwaka huu tutabadilika
Kucheza kamari (kubet)
Kukaba watu
Kutapeli wanaume wa mkoani pale sokoni Karume
Kununua wadada telegram
Kutumia bangi
Kuwasema walokole
Nataka niache kulima cannabis sativa kule mbinga
Kutukana majirani kwa jambo dogo
Kunya kwenye mfuko na kutupa barazan kwako bila kujua kama umenikosea
Kushinda sana vijiweni
Nakuombea upone mkuu na pia tafuta dawa inaitwa SEMENTIDIN ni ya vidonda vya tumbo nzuri sana mimi iyo dawa ndo iliniponesha vidonda vya tumbo mwaka huo nikiwa nipo chuo nilikua ninatabia ya kujinyima kula mpaka nikapata alcers majukum yana nafasi yake lakin yasipelekee mpaka ujinyime kula bila sababu ya msingiKutoka mshahara wote at once na kupeleka ndani.
Kuacha kula bila sababu, imenicost vidonda.
Tofauti na zari la mentali, sitokaa nitongoze mie.
Shukurani sana Mkuu! Hii dawa naipata maduka yapi, Maduka ya dawa baridi (pharmacy) au Maduka ya dawa Asili?. Tafadhari nipe zaidi mwongozoNakuombea upone mkuu na pia tafuta dawa inaitwa SEMENTIDIN ni ya vidonda vya tumbo nzuri sana mimi iyo dawa ndo iliniponesha vidonda vya tumbo mwaka huo nikiwa nipo chuo nilikua ninatabia ya kujinyima kula mpaka nikapata alcers majukum yana nafasi yake lakin yasipelekee mpaka ujinyime kula bila sababu ya msingi
Ili iweje?Acha pombe wewe demu
Mifano miwil tofaut mie siyo mti mi ni binadamHata mimea hupukutisha majani ili kupiga hatua, wewe unaenda na kila kitu kama popo!
Mifano miwil tofaut mie siyo mti mi ni binadam
Mie siyo nyoka ni binadam..Hata nyoka hujivua magamba, wewe ni nani!
Sementidin×××Nakuombea upone mkuu na pia tafuta dawa inaitwa SEMENTIDIN ni ya vidonda vya tumbo nzuri sana mimi iyo dawa ndo iliniponesha vidonda vya tumbo mwaka huo nikiwa nipo chuo nilikua ninatabia ya kujinyima kula mpaka nikapata alcers majukum yana nafasi yake lakin yasipelekee mpaka ujinyime kula bila sababu ya msingi
Iwe poaIli iweje?
Zinapatikana Pharmacy mkuuShukurani sana Mkuu! Hii dawa naipata maduka yapi, Maduka ya dawa baridi (pharmacy) au Maduka ya dawa Asili?. Tafadhari nipe zaidi mwongozo
We nae ili mradi mtoa comment kanielewa na hata akienda kuuliza hivyo nilivoandika dawa anapata tu bila shida[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Sementidin×××
Cimetidine✓✓
Alcers×××
Ulcers✓✓