Wabongo bhana...AnywayWe nae ili mradi mtoa comment kanielewa na hata akienda kuuliza hivyo nilivoandika dawa anapata tu bila shida[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Shukuran Mkuu nimeziona zinaitwa cimetidineZinapatikana Pharmacy mkuu
Nenda Pharmacy yoyote utavipata
Mimi...uvivu umenitoka nimefurahi Sana yani Sana... namashukuru Mungu.Upole[emoji58] uvivu na overspending
Mimi kwakweli nimuachaga aangalie tu hao wanawake wengine..maana Sioni sasa sababu ya kumkataza...nakuangalia tu akigeuza SHINGO kulia na kushoto akiangalia wavaa tight na vimini...Kugeuza geuza shingo nikipishana na kinikia la haja.
Aise kwangu mimi ningechukulia kama mtego yani unione namkodolea bibie afu uniache tu hata usiseme chochote?Mimi kwakweli nimuachaga aangalie tu hao wanawake wengine..maana Sioni sasa sababu ya kumkataza...nakuangalia tu akigeuza SHINGO kulia na kushoto akiangalia wavaa tight na vimini...
Mie siyo nyoka ni binadam..
Umekitumikia chama for how long?Farewells to chaputa mwaka huu ni kuchoma nyaraka zote na ilani zote za chama nimekipigania sana chama kwa moyo wang wote sahivi ni muda wang wa kupisha damu changa sina mengi kwa heri
Yes ndio hizo hizo mkuu nzuri sana hizo tumia hizo vizuri alafu utaleta mrejesho na pia zingatia kula usikae na njaa mda mrefuShukuran Mkuu nimeziona zinaitwa cimetidine