Ni tabia gani unatamani usiwe nazo 202?

Upole[emoji58] uvivu na overspending
Mimi...uvivu umenitoka nimefurahi Sana yani Sana... namashukuru Mungu.
Sina sifa ya upole...yaani Mimi Ni mkali Seema tu najikasa Sana kutuonesha hii Tabia yangu.

Overspending nadhani Sina...MATUMIZ yangu makuubwa Ni vocha
 
Kugeuza geuza shingo nikipishana na kinikia la haja.
Mimi kwakweli nimuachaga aangalie tu hao wanawake wengine..maana Sioni sasa sababu ya kumkataza...nakuangalia tu akigeuza SHINGO kulia na kushoto akiangalia wavaa tight na vimini...
 
Mimi kwakweli nimuachaga aangalie tu hao wanawake wengine..maana Sioni sasa sababu ya kumkataza...nakuangalia tu akigeuza SHINGO kulia na kushoto akiangalia wavaa tight na vimini...
Aise kwangu mimi ningechukulia kama mtego yani unione namkodolea bibie afu uniache tu hata usiseme chochote?
 
Farewells to chaputa mwaka huu ni kuchoma nyaraka zote na ilani zote za chama nimekipigania sana chama kwa moyo wang wote sahivi ni muda wang wa kupisha damu changa sina mengi kwa heri
 
Farewells to chaputa mwaka huu ni kuchoma nyaraka zote na ilani zote za chama nimekipigania sana chama kwa moyo wang wote sahivi ni muda wang wa kupisha damu changa sina mengi kwa heri
Umekitumikia chama for how long?
 
Shukuran Mkuu nimeziona zinaitwa cimetidine
Yes ndio hizo hizo mkuu nzuri sana hizo tumia hizo vizuri alafu utaleta mrejesho na pia zingatia kula usikae na njaa mda mrefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…