Hank_31
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 862
- 2,148
Mtoa mada umenifurahisha na kunikumbusha miaka ya nyuma kidogo. Kipindi nikiwa advance school.
Nilikua mtu wa kutokuongea na strangers na mkimya kwa muonekano but nikiwa kwa watu wa cycle yangu na vibe vya kutosha, hii ilipelekea baadhi ya wanawake kuniogopa na kuwaambia marafiki zangu kua am too serious.
Nilikuja badilika nilipoenda jkt na unni na kua talkative na mtu wa ku-socilize kinoma, fun enough ni kwamba kipindi hiki ndicho nilichopata mademu wachache kuliko kipindi nilichokua mkimya[emoji41][emoji41].
Nilikua mtu wa kutokuongea na strangers na mkimya kwa muonekano but nikiwa kwa watu wa cycle yangu na vibe vya kutosha, hii ilipelekea baadhi ya wanawake kuniogopa na kuwaambia marafiki zangu kua am too serious.
Nilikuja badilika nilipoenda jkt na unni na kua talkative na mtu wa ku-socilize kinoma, fun enough ni kwamba kipindi hiki ndicho nilichopata mademu wachache kuliko kipindi nilichokua mkimya[emoji41][emoji41].