Ni tahira pekee atakemea udikteta wa serikali juu ya wapinzani huku akiona ni sawa tu Mbowe kuwa mwenyekiti wa CHADEMA kwa zaidi ya miaka 20

Ni tahira pekee atakemea udikteta wa serikali juu ya wapinzani huku akiona ni sawa tu Mbowe kuwa mwenyekiti wa CHADEMA kwa zaidi ya miaka 20

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Kila siku wapinzani hasa wana CHADEMA huchukizwa pale viongozi wake wanapowekwa selo kwa makosa madogo madogo au kwa makosa ya kusingiziwa.
Lakini si mara nyingi tukiona wapinzani wakilaani udikteta wa Mbowe kukaa kwenye kiti kwa zaidi ya miaka 20.
Ina maana hakuna mtu mwingine mwenye maono au uwezo wa kuwa chairman?
Yeye mwenyewe Mbowe bila aibu kila muda wa uchaguzi anavuta fomu. Akemewe kama atafanya tena awamu hii.
Nina hakika huyu kwa % kadhaa ni pandikizi wa CCM kuhakikisha CCM haiachii ngazi.
Ilikuwaje mtu atoke kwenye chama chake leo kesho ajiunge CHADEMA na kupewa nafasi ya kugombea Urais?
Tena huyo mtu alikuwa mtu wa serikali tangu ujana wake, unamwamini vipi ? Rejeeni tukio la Lowasa 2015.
Lowasa licha ya kuwa PM lakini pia alikula kiapo cha kulinda siri za nchi (nadhani mmenielewa) na Mbowe alijua hilo.
Kama Mbowe ataendelea kuwa chairman basi CCM itaendelea kutawala tu.
We need pure man , pure revolutionist.
Kitengo wana akili sana, wanawaza mpaka kumfunga mtu jela for a moment ili tu kucheza movie, hata vifungo vya Mbowe ni movie tu .
 
Hakuna udikteta mahali unaweza kuondoka wakati wowote
 
Mbowe ni Nkurunzinza hana ethics za uongozi ana uchu wa madaraka akiachiwa anaweza kuongoza nchi kifalme
 
Mbowe ni Nkurunzinza hana ethics za uongozi ana uchu wa madaraka akiachiwa anaweza kuongoza nchi kifalme
Hakuna mtu amelazimishwa na Mbowe kubaki CHADEMA, vyama viko vingi sana na unaweza kujiunga bila passport au nauli
 
Wajasiliamali wa kisiasa mwaka huu tunataka tujue pasina Shaka Kama chadema ni chama Cha umma au ni chama Cha familia ya Mbowe !!
 
Lakini si mara nyingi tukiona wapinzani wakilaani udikteta wa Mbowe kukaa kwenye kiti kwa zaidi ya miaka 20.
Pengine hauna uelewa (elimu) kuwa udikteta ni kuendesha mambo kinyume na katiba ya unaowaendesha.
Ungekuwa na uelewa, ungebainisha kati ya Mbowe anayetawala bila ukomo na hao wanaoteka watu, yupi kati yao amefanya hivyo kinyume na katiba ya hao hao anaowaendesha
 
Back
Top Bottom