Mimi ni mwajiriwa mpya wa ajira za ualimu (Idara ya Sekondari). Hapa tayari nimepata mtu wa kubadilishana nae halmashauri za kufanyia kazi.
Naombeni ushauri wadau, tunapaswa kufanya nini sasa au ni wapi twende. Je ni TAMISEMI au wapi????
Natanguliza shukrani kwa msaada.
Naombeni ushauri wadau, tunapaswa kufanya nini sasa au ni wapi twende. Je ni TAMISEMI au wapi????
Natanguliza shukrani kwa msaada.