Ni Tanzania pekee Polisi wanakukamata halafu ndio wanaanza kutafuta wakufikishe mahakamani kwa kutumia sheria gani!

Ni Tanzania pekee Polisi wanakukamata halafu ndio wanaanza kutafuta wakufikishe mahakamani kwa kutumia sheria gani!

Synthesizer

Platinum Member
Joined
Feb 15, 2010
Posts
12,699
Reaction score
22,598
Si mara ya kwanza hili limefanyika, kwamba Polisi watamkamata mtu, watamuweka ndani, halafu akiwa ndani ndio wanaanza kujiuliza, sasa huyu tumfikishe mahakamani kwa kutumia vifungu gani vya sheria?

Ndio maana ni rahisi sana Tanzania kukamatwa na kupelekwa mahakamani, kuachiwa na hakimu, kisha polisi wakudake tena ukitoka tu mahakamani ili wakakubadilishie mashitaka

Hivyo wala hatushangai kwamba hawaoni hata aibu kutamka maneno haya kuhusu suala la kumkamata Dr. Slaa, "Ni sahihi daktari yupo, tuko naye na tumekuwa na mahojiano naye kwa baadhi ya mambo na mahojiano yetu yanakwenda vizuri kwa hiyo tunaangalia mifumo ya kisheria inatuelekeza nini cha kufanya naamini taarifa zaidi zitatolewa baadaye,”

Sasa hii inakuambia nini juu ya polisi wetu? Ni wazi wamejaa ujinga na ukihiyo! Wananikumbusha Mafarisayo waliokuwa wakimhoji Masiya ili atamke kitu cha kumfungulia mashitaka! Sijui kati ya Polisi wetu na Mafarisayo nani ni mwovu zaidi.
 
Sawa

Ikumbukwe Tanzania anayekukamata na kuchunguza ni Polisi

Anayekushtaki ni DPP

Happy New Year 😄
 
Si mara ya kwanza hili limefanyika, kwamba Polisi watamkamata mtu, watamuweka ndani, halafu akiwa ndani ndio wanaanza kujiuliza, sasa huyu tumfikishe mahakamani kwa kutumia vifungu gani vya sheria?

Ndio maana ni rahisi sana Tanzania kukamatwa na kupelekwa mahakamani, kuachiwa na hakimu, kisha polisi wakudake tena ukitoka tu mahakamani ili wakakubadilishie mashitaka

Hivyo wala hatushangai kwamba hawaoni hata aibu kutamka maneno haya kuhusu suala la kumkamata Dr. Slaa, "Ni sahihi daktari yupo, tuko naye na tumekuwa na mahojiano naye kwa baadhi ya mambo na mahojiano yetu yanakwenda vizuri kwa hiyo tunaangalia mifumo ya kisheria inatuelekeza nini cha kufanya naamini taarifa zaidi zitatolewa baadaye,”

Sasa hii inakuambia nini juu ya polisi wetu? Ni wazi wamejaa ujinga na ukihiyo! Wananikumbusha Mafarisayo waliokuwa wakimhoji Masiya ili atamke kitu cha kumfungulia mashitaka! Sijui kati ya Polisi wetu na Mafarisayo nani ni mwovu zaidi.
Yaani inasikitisha sana,walienda kumkamata bila kujua au Nini?Huwa wanakuwa wamepasha farujohn!
 
Labda hawakujiandaa na hii wameamabiwa tu asubuhi wakubali wako naye, mwanzo ilitakiwa kuwa " Tumepokea taarifa za Dokta Slaa kupotea na sisi tunamtafuta"
 
Mfahamu sultan ibn mbowe king'ang'anizi
IMG-20241206-WA0083(1).jpg
 
Si mara ya kwanza hili limefanyika, kwamba Polisi watamkamata mtu, watamuweka ndani, halafu akiwa ndani ndio wanaanza kujiuliza, sasa huyu tumfikishe mahakamani kwa kutumia vifungu gani vya sheria?

Ndio maana ni rahisi sana Tanzania kukamatwa na kupelekwa mahakamani, kuachiwa na hakimu, kisha polisi wakudake tena ukitoka tu mahakamani ili wakakubadilishie mashitaka

Hivyo wala hatushangai kwamba hawaoni hata aibu kutamka maneno haya kuhusu suala la kumkamata Dr. Slaa, "Ni sahihi daktari yupo, tuko naye na tumekuwa na mahojiano naye kwa baadhi ya mambo na mahojiano yetu yanakwenda vizuri kwa hiyo tunaangalia mifumo ya kisheria inatuelekeza nini cha kufanya naamini taarifa zaidi zitatolewa baadaye,”

Sasa hii inakuambia nini juu ya polisi wetu? Ni wazi wamejaa ujinga na ukihiyo! Wananikumbusha Mafarisayo waliokuwa wakimhoji Masiya ili atamke kitu cha kumfungulia mashitaka! Sijui kati ya Polisi wetu na Mafarisayo nani ni mwovu zaidi.
Kwa kweli ni shida
 
Labda hawakujiandaa na hii wameamabiwa tu asubuhi wakubali wako naye, mwanzo ilitakiwa kuwa " Tumepokea taarifa za Dokta Slaa kupotea na sisi tunamtafuta"
Mara nyingine wanasubiri maagizo toka juu kuhusu wamshitaki kuhusu kosa gani. Kuna mtu alsema unakamatwa halafu wanakuuliza hivi umewafanya nini tena huko juu?
 
Back
Top Bottom