jmchimbadhahabu
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 218
- 106
Hbr wadu!
Tafdhali naomba kupewa muongozo wa kisheria na taratibu kuanzia ngazi ya kijiji mpaka wizara husika zinazotumika kuanzisha kituo cha kulea watoto yatima.
Nina mpango huo kwa sababu maeneo nilipo kuna watoto wengi ambao hawajiwezi na wanahitaji msaada hasa kielimu,tiba,malazi nk,nahtaji kujaribu kusaidia kwa namna yoyote kuwasaidia. Nitashukru.
Tafdhali naomba kupewa muongozo wa kisheria na taratibu kuanzia ngazi ya kijiji mpaka wizara husika zinazotumika kuanzisha kituo cha kulea watoto yatima.
Nina mpango huo kwa sababu maeneo nilipo kuna watoto wengi ambao hawajiwezi na wanahitaji msaada hasa kielimu,tiba,malazi nk,nahtaji kujaribu kusaidia kwa namna yoyote kuwasaidia. Nitashukru.