Ni tatizo kwenye maneno haya ya Kiswahili?

Ni tatizo kwenye maneno haya ya Kiswahili?

uko sahihi kabisa mkuu. hata neno mbunge linatakiwa kuandikwa MMBUNGE kama linavyotamkwa. umeona eeh? ngoja wataalamu wa isimu waje watufafanulie vizuri.
 
uko sahihi kabisa mkuu. hata neno mbunge linatakiwa kuandikwa MMBUNGE kama linavyotamkwa. umeona eeh? ngoja wataalamu wa isimu waje watufafanulie vizuri.

hapo kwenye MMBUNGE naongezea kusahihisha iwe inasomeka hiviii M'BUNGE
naimani tutafika pazuri tu. jinsi tunayoenda na matumizi ya haya maneno tata nafanisha na serikali ilivyo yaani hata inapokosea haijirekebishi. sasa ni wakati wa kurekebisha LUGHA yetu ili tuingie kwenye 2015 UTAWALA MPYA LAFUDHI MPYA ILIYO SAFI.
JIRANI Zetu KENYA nao wanaindikaje hii M'BUNGE
 
Sasa kama nzi linatamkika vizur iweje mbwa unaona halitamkk vzur hebu jpange....

tamka NZI kwa sauti na utamke MBWA kama inavosomeka kimaandishi tena kwa sauti.
 
hapo kwenye MMBUNGE naongezea kusahihisha iwe inasomeka hiviii M'BUNGE
naimani tutafika pazuri tu. jinsi tunayoenda na matumizi ya haya maneno tata nafanisha na serikali ilivyo yaani hata inapokosea haijirekebishi. sasa ni wakati wa kurekebisha LUGHA yetu ili tuingie kwenye 2015 UTAWALA MPYA LAFUDHI MPYA ILIYO SAFI.
JIRANI Zetu KENYA nao wanaindikaje hii M'BUNGE

Huku Kenya tunaandika tu kama nyinyi. Ikiwa tutabadilisha Mbunge, neno ambala latokana na bunge, basi pia itabidi tubadilishe mdaku, mbishi, mpwa, mtundu. Nadhani maneno yote ambayo yako katika ngeli ya A-wa yafaa yatamkwe hivyo.
 
Huku Kenya tunaandika tu kama nyinyi. Ikiwa tutabadilisha Mbunge, neno ambala latokana na bunge, basi pia itabidi tubadilishe mdaku, mbishi, mpwa, mtundu. Nadhani maneno yote ambayo yako katika ngeli ya A-wa yafaa yatamkwe hivyo.
MFANO mpwa. isome kwa sauti kama ilivyo. uisome MBUNGE kwa sauti kama inavoonekana. kwanini haya yanakuwa tofauti katika uandishi. MPWA inasomeka sawia ila MBUNGE inasomeka tofauti na inavyoonekana WHY?
 
Huku Kenya tunaandika tu kama nyinyi. Ikiwa tutabadilisha Mbunge, neno ambala latokana na bunge, basi pia itabidi tubadilishe mdaku, mbishi, mpwa, mtundu. Nadhani maneno yote ambayo yako katika ngeli ya A-wa yafaa yatamkwe hivyo.
HEBU NISOMEE HILI NENO..
NGOMBE kisha soma hili NG'OMBE

MMBU na MBU....
 
Kila lugha ina kanuni zake ningeunga mkono kama kungekuwa na maneno yanayofanana na hayo na yanaandikwa namna hiyo unayotaka wewe. Umeshawahi kusikia Waganda wanavyotamka "k"? wao penye "k" huweka "ch" kwenye matamshi mfano Nakivubo (soma Nachivubo) au Wareno wanapotamka "s" iliyo kati ya herufi nyingine mbili au mwisho wa neno? "Adios" (soma Adiosh) kwa hiyo ni kanuni tu za lugha.
 
Back
Top Bottom