Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DR Mambo Jambo msaada tafadhali, kijana anataka kuzaa na wanyama.Mshana jr vipi kama binadamu na mnyama wakapigana miti na mimba ikatungwa, kiumbe gani kitatoka?
😀😀😀DR Mambo Jambo msaada tafadhali, kijana anataka kuzaa na wanyama.
Si anajidai kataa ndoa?
wanasema hakuna uhusiano wa kijenetiki kati ya mnyama na binadamu, mimba haitatungwa. Niliona chura mtandaoni anafanana na rang ya chungwa na mwingine kama karoti, sijui ikuaje hapo?Genetic yenye nguvu ndio itatawala hasa kichwani
Siku hizi kuna majaribio mengi, mengine yanafaulu mengine yanafeliwanasema hakuna uhusiano wa kijenetiki kati ya mnyama na binadamu, mimba haitatungwa. Niliona chura mtandaoni anafanana na rang ya chungwa na mwingine kama karoti, sijui ikuaje hapo?