GoldDhahabu JF-Expert Member Joined Apr 29, 2023 Posts 7,189 Reaction score 10,375 Mar 5, 2024 #1 Sidhani kama ni hali ya kawaida. Haijazoeleka. Sijasema pia ni mshirikina au ana tatizo la kiakili. Inaweza ikawa hivyo au kinyume chake. Kwa kifupi, ni tukio la kushangaza sana kwa wengi. Au anautafuta umaarufu? Your browser is not able to display this video.
Sidhani kama ni hali ya kawaida. Haijazoeleka. Sijasema pia ni mshirikina au ana tatizo la kiakili. Inaweza ikawa hivyo au kinyume chake. Kwa kifupi, ni tukio la kushangaza sana kwa wengi. Au anautafuta umaarufu? Your browser is not able to display this video.
DMmasi JF-Expert Member Joined Nov 28, 2020 Posts 561 Reaction score 900 Mar 5, 2024 #3 mimi sijawaza mengi nimewaza tuu akiowa inabidi litengenezwe la 6×6 alale na mkewe
K kidole cha simba JF-Expert Member Joined Jun 3, 2022 Posts 1,994 Reaction score 2,510 Mar 5, 2024 #4 GoldDhahabu said: Sidhani kama ni hali ya kawaida. Haijazoeleka. Sijasema pia ni mshirikina au ana tatizo la kiakili. Inaweza ikawa hivyo au kinyume chake. Kwa kifupi, ni tukio la kushangaza sana kwa wengi. Au anautafuta umaarufu? Click to expand... ulivotaja NIGERIA akili yangu ikanipa jibu!!...huu ni uchawi alionunua NIGERIA na lengo ni kuwa tajiri kwa ababu ata sura yake haifanani na utajiri,,{ameforce],,ata ukiangalia kwa nini anatembelea fimbo yenye kirungu??? fimbo ya kichawi
GoldDhahabu said: Sidhani kama ni hali ya kawaida. Haijazoeleka. Sijasema pia ni mshirikina au ana tatizo la kiakili. Inaweza ikawa hivyo au kinyume chake. Kwa kifupi, ni tukio la kushangaza sana kwa wengi. Au anautafuta umaarufu? Click to expand... ulivotaja NIGERIA akili yangu ikanipa jibu!!...huu ni uchawi alionunua NIGERIA na lengo ni kuwa tajiri kwa ababu ata sura yake haifanani na utajiri,,{ameforce],,ata ukiangalia kwa nini anatembelea fimbo yenye kirungu??? fimbo ya kichawi