subiri ajifungue tuu atapona hyo inatokana na vichocheo vinavyozalisha mate kuongeza production sababu ya hyo mimba.hyo kitu nila kimaumbile tuuWadau kama mada inavyojieleza hapo juu,nina mdogo wangu ni mjamzito wa miez mitano kamili,shida iliyopo ni moja tuu anatema sana mate mpk imefikia hatua anakuwa na kopo kila mahali anapokwenda au hii hali atakuwa nayo mpk ck anapojifungua,msaada plz kwa yeyote anaejua atumie nini ili awe kawaida .
Asante kwa ushauri tulifikir kuna njia za kuweza kuzuia hili tatizosubiri ajifungue tuu atapona hyo inatokana na vichocheo vinavyozalisha mate kuongeza production sababu ya hyo mimba.hyo kitu nila kimaumbile tuu
mvumilieni mumuwekee na ndoo kabisa pia air fresher kupunguza uvundo wa mate hyo ni kawaida kbsa tena msimseme vibaya.mwili unavyopatwa na mabadiliko km hyo mimba kuna vichocheo vinaongezeka kutokana na hayo mabadiliko ya kimwili
Aiseeeee!!!Hakuna tiba mwingine mpk ajifungue au mimba ikifika mwishoni
Kaichomoe Mimba hatotema tena Mate