Ni timu gani ya soka inakuonesha mpira mzuri kuliko Simba hapa Tanzania?

Ni timu gani ya soka inakuonesha mpira mzuri kuliko Simba hapa Tanzania?

mooalex

Member
Joined
Dec 5, 2018
Posts
14
Reaction score
22
Kiukweli binafsi mimi ni mpenzi wa Simba, ila kusema ukweli ni kuwa mpira wa Tanzania bado sana.

But hamna anaepinga kwa sasa Simba ni club bora hapa Tanzania kwani mpira wao uwanjani wanaonana vzuri sana, pasi kama zote.

Ukikutana na mkude pale kati na kuna mtu mbaya anayeitwa Chama ukifika mbele kuna watu wabaya Okwi na mwenziwe Kagere ni balaa tupu.

Je wewe unahisi ni club gani inakuosha kwa mpira wake hapa Tanzania?
 
Simba inacheza school boys football...ndio maana coach wa AS Vita aliwaambia ..mnapiga pasi nyingi hazina maana...mnafungwa tano bila mnaongoza ball possession...
 
Mbao fc pesa hawana ila mpira kama wote
 
Kiukweli binafsi mimi ni mpenzi wa Simba, ila kusema ukweli ni kuwa mpira wa Tanzania bado sana.
But hamna anaepinga kwa sasa Simba ni club bora hapa Tanzania kwani mpira wao uwanjani wanaonana vzuri sana, pasi kama zote. Ukikutana na mkude pale kati na kuna mtu mbaya anayeitwa Chama ukifika mbele kuna watu wabaya Okwi na mwenziwe Kagere ni balaa tupu.
Je wewe unahisi ni club gani inakuosha kwa mpira wake hapa Tanzania?
Lipuli FC
 
Naipenda Sana yanga, ila Al ahlay naisi ijumaa Karimu ntawapenda zaidi maana vita club nawakubali ila mashujaa sijui nisemeje Kabla sijafika bandari kushusha mbao zangu maana Algeria nako mmh!! Sina la kusema ni swala la muda tu!! [emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji56][emoji56][emoji56][emoji56]
 
Kiukweli binafsi mimi ni mpenzi wa Simba, ila kusema ukweli ni kuwa mpira wa Tanzania bado sana.
But hamna anaepinga kwa sasa Simba ni club bora hapa Tanzania kwani mpira wao uwanjani wanaonana vzuri sana, pasi kama zote. Ukikutana na mkude pale kati na kuna mtu mbaya anayeitwa Chama ukifika mbele kuna watu wabaya Okwi na mwenziwe Kagere ni balaa tupu.
Je wewe unahisi ni club gani inakuosha kwa mpira wake hapa Tanzania?
Kiongozi, mpira ni magoli na mataji.
Yanga bingwa mara 27 Simba mara 19. Huo ndiyo huo.
Mengine ni mbwembwe tu.
 
Back
Top Bottom