Ni Timu Moja Tu Duniani Haifungwifungwi Hovyo

Ni Timu Moja Tu Duniani Haifungwifungwi Hovyo

Barcelona inaonyesha Sanaa iliyotukuka, Sanaa ya hali ya juu superior katika ulimwengu wa soka
Ni Timu itakayokumbukwa vizazi na vizazi
 
Natimu yangu huku inaitwa Gazzaniga football Club.

Inatatandaza soka maridadi lenye mvuto usioisha haamu...

Timu imechanganya falsafa za Pochettino,Pep Guardiola(njia bora ya kujilinda ni kumiliki mpira,tukipoteza mpira tunautufa mithili ya bweha mwenye njaa kali),Klopp "Gegen press"High pressing na Sampaoli "Bielsa style".

Tunatembeza kichapo cha haja,Tunaleta mapinduzi ya soka,Soka linachezwa hivi na sivile.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom