Ni Trekta Gani Bora Kati ya New Holland na John Deere

Ni Trekta Gani Bora Kati ya New Holland na John Deere

Unajua New Holland ni Copy ya Ford tractor, John deer haina Copy,ni bora ununue john deer japo spea zake ni ghali.uzuri ukifunga spea mpya unasahau.New Holland hautafurahia utendaji wake.
Nimekusoma mkuu
 
Nimekusoma mkuu

kuna mzee fulani wa VETA, Dar alinambia yeye ni mzoefu sana wa matrekta akashauri ni bora ununue mtumba wa John Deer au Massey Ferguson kuliko New Holand, anasema hizi hazinaga maisha marefu ni pambo tu japo ni copy ya Ford tractor ila yeye anazikubali JD na MF
 
kuna mzee fulani wa VETA, Dar alinambia yeye ni mzoefu sana wa matrekta akashauri ni bora ununue mtumba wa John Deer au Massey Ferguson kuliko New Holand, anasema hizi hazinaga maisha marefu ni pambo tu japo ni copy ya Ford tractor ila yeye anazikubali JD na MF
Watu Huwa wanasema JD spea ni shida kuzipata. hapo imekaaje?
 
Watu Huwa wanasema JD spea ni shida kuzipata. hapo imekaaje?
hapo sina jibu coz cjaanza hyo business nafikiri utengenezwe uzi maalum wa hao dealers maana wako bize sana kujitangaza ukiwafata watakuwa na majibu mazuri
 
Zote ni trekta bora. Mara nyingi ubora wa trekta unategemea na wewe mmiliki pia, kama hulitunzi na kuliheshimu, litaitwa marehemu kabla hata ya mwaka kuisha. Ngoja nikupe ufafanuzi mdogo wa matrekta ila kama ukihitaji zaidi ni pm nikupe namba yangu unipigie nikueleze kwa undani maana maelezo ni mengi na inchosha kuandika kwa kutumia simu.
1)Massey Ferguson(mf) hili trekta tangu enzi za mwalimu lipo na spare zake ni nyingi mno hata ukiwa mashamba ya ndani ndani sana utapata spare na mafundi kibao wanalijua hili. Ni trekta imara sana. Yapo yanayotoka England na mengine yanatoka Pakistan. Kama mfuko unaruhusu chukua ya England ni imara sana na bei ipo juu kuliko hayo ya Pakistan na spare nazo bei ni hivyo hivyo. Spare ya kutoka Uingereza huwa ni juu hata mara mbili ya spare ya kutoka Pakistan
2) John Deere(jd). Nalo ni zuri ila usichukue yanayotoka India si imara sana. Nafikiri haya pia yanatoka England au Marekani. Kwa ujumla Jd bei ipo juu hadi vipuri vyake pia vipo juu haijalishi imetokea nchi gani. Na upatikanaji wa spare Tz hapa ni wa shida na wanaoziuza wanaringa na bei inabadilika muda wote kwa sababu wanajua zipo chache. Mafundi wengi hawazijui hizi so likiharibika kupata fundi anaezijua kidogo huwa inasumbua.
3) New Holland ina sifa kama za mf japo lenyewe kwa hapa nchini si kongwe sana. Ila nalo ni imara sana na mafundi wapo wa kutosha. Spare zake ni ghali kulinganisha na mf ila zinapatikana karibia Tz yote.
ANGALIZO!
Nunua trekta kulingana na mahitaji yako na mazingira ulipo. Usinunue ili mradi uonekane na wewe unamiliki trekta litakushinda.
Matunzo ni muhimu sana lenyewe pia linahitaji matunzo kama vile unavyotunza vitz, vx, rav 4, range rover au ford ranger[emoji16]
Usinunue trekta kwasababu ya kampuni kujulikana sana, utalia sana pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna mzee fulani wa VETA, Dar alinambia yeye ni mzoefu sana wa matrekta akashauri ni bora ununue mtumba wa John Deer au Massey Ferguson kuliko New Holand, anasema hizi hazinaga maisha marefu ni pambo tu japo ni copy ya Ford tractor ila yeye anazikubali JD na MF
Miaka inayozidi kwenda na teknolojia inabadilika pia. Kuna mtu aliwah nambia trekta inayotumia rotor pump ni imara kuliko ya electric pump jambo ambalo si kweli kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zote ni trekta bora. Mara nyingi ubora wa trekta unategemea na wewe mmiliki pia, kama hulitunzi na kuliheshimu, litaitwa marehemu kabla hata ya mwaka kuisha. Ngoja nikupe ufafanuzi mdogo wa matrekta ila kama ukihitaji zaidi ni pm nikupe namba yangu unipigie nikueleze kwa undani maana maelezo ni mengi na inchosha kuandika kwa kutumia simu.
1)Massey Ferguson(mf) hili trekta tangu enzi za mwalimu lipo na spare zake ni nyingi mno hata ukiwa mashamba ya ndani ndani sana utapata spare na mafundi kibao wanalijua hili. Ni trekta imara sana. Yapo yanayotoka England na mengine yanatoka Pakistan. Kama mfuko unaruhusu chukua ya England ni imara sana na bei ipo juu kuliko hayo ya Pakistan na spare nazo bei ni hivyo hivyo. Spare ya kutoka Uingereza huwa ni juu hata mara mbili ya spare ya kutoka Pakistan
2) John Deere(jd). Nalo ni zuri ila usichukue yanayotoka India si imara sana. Nafikiri haya pia yanatoka England au Marekani. Kwa ujumla Jd bei ipo juu hadi vipuri vyake pia vipo juu haijalishi imetokea nchi gani. Na upatikanaji wa spare Tz hapa ni wa shida na wanaoziuza wanaringa na bei inabadilika muda wote kwa sababu wanajua zipo chache. Mafundi wengi hawazijui hizi so likiharibika kupata fundi anaezijua kidogo huwa inasumbua.
3) New Holland ina sifa kama za mf japo lenyewe kwa hapa nchini si kongwe sana. Ila nalo ni imara sana na mafundi wapo wa kutosha. Spare zake ni ghali kulinganisha na mf ila zinapatikana karibia Tz yote.
ANGALIZO!
Nunua trekta kulingana na mahitaji yako na mazingira ulipo. Usinunue ili mradi uonekane na wewe unamiliki trekta litakushinda.
Matunzo ni muhimu sana lenyewe pia linahitaji matunzo kama vile unavyotunza vitz, vx, rav 4, range rover au ford ranger[emoji16]
Usinunue trekta kwasababu ya kampuni kujulikana sana, utalia sana pia

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi naona New holland za pale suma jkt n nzur zaid nlshudia mzee mmoja kanunua na akapewa elimu tajr wa trekta pamoja na dereva(operator) yaan ukienda kuiharbu n uzembe tu wa mtu na kutokuwa na huruma na pesa za izo machine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hitaji la tractor inategemea na location utakapoenda kupigia kazi.
Kwa moro tractor ambazo zinabamba ni New Holland ukininunua nje ya hapo usishangae kukosa wateja!
 
Zote ni trekta bora. Mara nyingi ubora wa trekta unategemea na wewe mmiliki pia, kama hulitunzi na kuliheshimu, litaitwa marehemu kabla hata ya mwaka kuisha. Ngoja nikupe ufafanuzi mdogo wa matrekta ila kama ukihitaji zaidi ni pm nikupe namba yangu unipigie nikueleze kwa undani maana maelezo ni mengi na inchosha kuandika kwa kutumia simu.
1)Massey Ferguson(mf) hili trekta tangu enzi za mwalimu lipo na spare zake ni nyingi mno hata ukiwa mashamba ya ndani ndani sana utapata spare na mafundi kibao wanalijua hili. Ni trekta imara sana. Yapo yanayotoka England na mengine yanatoka Pakistan. Kama mfuko unaruhusu chukua ya England ni imara sana na bei ipo juu kuliko hayo ya Pakistan na spare nazo bei ni hivyo hivyo. Spare ya kutoka Uingereza huwa ni juu hata mara mbili ya spare ya kutoka Pakistan
2) John Deere(jd). Nalo ni zuri ila usichukue yanayotoka India si imara sana. Nafikiri haya pia yanatoka England au Marekani. Kwa ujumla Jd bei ipo juu hadi vipuri vyake pia vipo juu haijalishi imetokea nchi gani. Na upatikanaji wa spare Tz hapa ni wa shida na wanaoziuza wanaringa na bei inabadilika muda wote kwa sababu wanajua zipo chache. Mafundi wengi hawazijui hizi so likiharibika kupata fundi anaezijua kidogo huwa inasumbua.
3) New Holland ina sifa kama za mf japo lenyewe kwa hapa nchini si kongwe sana. Ila nalo ni imara sana na mafundi wapo wa kutosha. Spare zake ni ghali kulinganisha na mf ila zinapatikana karibia Tz yote.
ANGALIZO!
Nunua trekta kulingana na mahitaji yako na mazingira ulipo. Usinunue ili mradi uonekane na wewe unamiliki trekta litakushinda.
Matunzo ni muhimu sana lenyewe pia linahitaji matunzo kama vile unavyotunza vitz, vx, rav 4, range rover au ford ranger[emoji16]
Usinunue trekta kwasababu ya kampuni kujulikana sana, utalia sana pia

Sent using Jamii Forums mobile app

Nafurai kumsaidia huyu mwenzetu anayetaka kujikita kwny kilimo;Pia umejaribu kumpa darasa zuri kuhusu hivi vyumaa.
Ila kwa upande wangu mimi namshauri mdau asinine kabisa John Deer maana mafundi huwa wanaliita “Ndoa ya kikristo”...yaani ukilinunua ndio lako hilo hata ukitaka Kuuza hutopata mteja.
Mdau kama ana subira mm ningemshauri aagize FIAT...Hizi trekta ni ngumu sana na zinapiga sana kazi...Suala la Spea na matengenezo wala sio shida.Spea zipo na mafundi wapo wengi sana.
New Holland kwa sasa mzalishaji ni Muhindi..Watu wanazikimbilia kwa sababu ni Mpya ila kwa utendaji Kazi wa madereva wetu huko mashambani huwa znachakaa/gari ila mapema sn.Ni ngumu sn kuikuta NH yenye miaka 10 ikiwa bd imesimama lkn Sio kwa Fiati..
Ninayasema haya kutokana na uzoefu na sio stori tuu.
Fiat ni kama “Forgotten heroes”...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom