kuduman201036
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 4,058
- 2,175
Haha jossverest hats Mimi yamenikuta hayo uyasemayo kitambo sanaBidada nilimnunulia kinywaji ili tucheze mziki mpaka basi...nasikitika bando la vinywaji lilikata na njiwa akapeperuka halafu nilikuwa na hamu nae sana
Sio demu wa Arusha kweli mkuu?demu nataka nimbambie nae analazimisha anibambie, nilikasirika sana🙄🙄🙄
Ivii MKUU UNAKUMBUKA JAMSSESSION. DISCO TOTO CLUB BILLICANASS LAKINIAiseee kuna siku Niko na mwanangu, tukazama bills, ile kutia mguu tu ndani nkakutana na mwanangu wa kitambo sana y
Ile oya oya mingi ,jamaa akanitonya kana na mzigo wa mirungi kama kilo5 hivi dadadeki ,mixer vitu vigumu kadhaaaa,
Tukazama smoking room mida ya sa8, kula sana vitu hadi tukazima, kuja kushtuka sa10 inaelekea sa11 .
Mwana nliekuja naye hata sijui yuko wapi, basi nkajisogeza hadi stand ya dala dala .
Nlivyokaaa nkakaaa ,daladala imetoka posta hadi mabibo ikashusha Mimi nimo tu ikageuza Tena posta Mimi nimo tu, ikarud Tena mabibo aiseee hapo sielewi kitu badae konda akanifata akaniuliza wewe unaenda wapi mbona hushuki ,dah nkikumbuka nacheka sana
[emoji3][emoji3] sasa ulivyo boya usd 1000 ni pesa ndogo saana. Ni milioni 2 za kibongo hahaNakumbuka kipindi kimoja nilienda club mbele.
Ilikuwa vip kama hujaja na gari la maana huingii.
Tukakodi limonzin HUMMER.
Wale walinzi kabla hata hatujashuka walishafungua mlango.
Nilikuwa na watoto wa tatu wakishua. Mfukoni nina dola elfu moja. Dola ishirini ishirina na dola kumi kumi.
Yani hapo nilikuwa tungi balaa.
Watoto wameniganda ile mbaya na nilishatungua wote wiki nzima walikuwa geto kwangu tuna spend tu.
Cluba si likapigwa dude ya cash money make it rain...
Nikaanza kurusha zile dola kumi kumi.. Club imejaa wazungu hawana hata time na zile dola wanajua ni feki..
Ila wale madeemu zangu wakawa wanaziokota .. Kuna baadhi ya madogo wanafunzi machale yakawacheza
Wakaanza nao kuokota naskia wanaongea kwa lugha yao kuwa hizo ni real.
Daaaah tumerudi home nina dola 30 mfukoni na wale mademu waliniokotea dola 140.
Zingine zote hasara.
Zote nakumbuka hadi kipindi kile ukiwa na line ya zanteli ukiwahi kabla ya sa6 unaingia bureeIvii MKUU UNAKUMBUKA JAMSSESSION. DISCO TOTO CLUB BILLICANASS LAKINI
Ilikuwa mwaka 2009.[emoji3][emoji3] sasa ulivyo boya usd 1000 ni pesa ndogo saana. Ni milioni 2 za kibongo haha
Si alisema akifika kwao atakutafuta? Basi bado hajafika huyo au hana kwao mpaka leo hajafika.Nilikutana na mtoto m1 makini sana sijawahi ona , alikuwa mtoto wa UDSM ilikuwa Maisha basement ,mtoto akaelewa swaga za mnyamwezi baada ya kumchapa smirnOff mbili tatu ikabidi tubadilishane contact sikwenda na simu club sikuhiyo ikabidi nimwandikie digits zangu kwenye cmu yake then akanisave kwa kuniahidi atanitafuta, masikini roho yangu pombe zikanizidi nikapitiwa na usingizi kwenye sofa, kuja kushtuka ngoma kumi na moja kasoro alfajiri nipo mwenyewe kwenye sofa demu kashasepa, na mbaka leo hajanitafuta na sijafanikiwa kumuona mtoto mzuri yule, kilichoniuma sanaa ni kitendo cha kushindwa hata kubeep au kumwambia anitext pale pale nilipompa namba, nikikumbuka yule mtoto huwa najicheka sana na kujisemea moyoni kweli pombe sio chai.
We unatokea Bukoba eeeeeeh...Kuna dem mmoja aliniomba nimpeleke club yeye na rafiki yake kwa kuwa tangu waje hapa Dar hawajawahi kwenda... Basi huyoo nikaweka wese kwenye kigari changu mpaka Maisha. Kufika kule mtoto akawa hataki kucheza na mi huku rafiki yake sina mzuka naye. Hasira zilizonishika nilitaka niwatelekeze pale club warudi kwao Makongo juu kwa mguu... Baadaye huruma ikaniingia ikabidi tu niwe mpole. Mpaka nawarudisha mida ya saa nane usiku, nilikuwa nahesabu hasara kama ya elfu sitini niliyounguza toka kwenye mshahara wangu wa laki nne na nusu... that was way back in 2010!
Kwa nin mkuu?We unatokea Bukoba eeeeeeh...
David huyo jamaa alikunywa bia zake hajakuzikunguaa lakiniNakumbuka masai club kahama,kuna mdada alikunywa bia za watu alf hatak kuondk na jamaa aliemywea bia zake bac ikawa vurugu dem akakimbilia kwangu
Alf mi club siku hyo nilkua na wahuni wangu shazi so jamaa tukamjazia jam akatulia
dem alkua tungi balaa nmekaa nae kwenye kochi apumzike kwanza mara akachukua mkono wangu ndani ya papuchi yake
Ikabidi nile mzigo maana dem alkua na genye balaa
Baada ya club kuisha nikachukua contact dem akasepa kwao
After 2weeks dem akaja nambia ana mimba nikawaza sa huyo mtot si atakua wa laan huyoo
baad ya mda nampigia asha abort
Nishukuru sanaa
Nb:Nilkua sitoki club bila dem nilkua napendelea wakati wa ladies free then wanaume tunalipa hela hujutii hela yako