dist111
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 3,758
- 3,199
seems hukijui unachoongea,Wapo walioniendeleza Ila Wana hata miaka kumi hawajapanda vyeo..usione Kila Alie cheo Cha chini ndio stahili yake ..lengo ni realistic...km mtumishi wa chininhana molali huyo wa juu atapiga makelele wee lakini output itakua ndogo.
Kuna miaka watu walikua wanagoma. Ila Kuna kada wakasema wao hawagomi mishahara inawatosha...baada ya miaka miwili impact ikawa inaonekana .ilichukua miaka mitatu serikali kurekebishwa kurudi ktk Hali yake
watu washapandishwa madaraja kitambo, na mafao/madeni yao washalipwa