NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
-
- #41
Ngoja waje watakushambulia mno.Wenye mafunye popote mlipo nawasalimia
Wameitwa ikulu Sasa vimba na upasukeYanga Bungeni wanaenda kufanya nn? Hao wabunge wasichezee huo mjengo khaah
Waje..siogopi mafunye mieNgoja waje watakushambulia mno.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeh hata mpelekwee ikulu zote, bado kombe limebaki uarabuniWameitwa ikulu Sasa vimba na upasuke
Malengo ya Simba yalikuwa kucheza Champions league na kufika semi fainali wakatolewa kwa penalti kwenye robofainali na timu inayocheza fainali Wydad Casablanca ambao ni mabingwa watetezi wa Klabu bingwa.Malengo ya Simba yalikua ni Yapi??
Na wamefika wapi ??
Kuitwa Ikulu ndio kikombe kinarudi au?Wameitwa ikulu Sasa vimba na upasuke
Utakufa kwa ujinga wewe.Tulia.Natoa kongolee kwa Dar Young African sc, hakika mmetuheshimisha mashabiki wenu na hatuna Cha kuwadai.
Tuzo mlizozitwaa kwenye michuano ya kombe la shirikisho Kama kiatu Cha ufungaji Bora na Diara kuchukua tuzo ya man of the match pamoja na kikosi kuvaa medali.
Hakika tuzo hizo ni sabuni za Roho kwa mashabiki wa Yanga na zimetusafisha sana Tena sana.
Kwa moyo mkunjufu NALIA NGWENA nitakua wa kwanza kuja kuwapokea Dodoma mtakapokuja bungeni kupewa pongezi na waheshimiwa wabunge.
Ubongo wenye funza (mafunye) ndiyo utasema yanga ni dhaifu wakati kwenye kabati hakuna kombe la mapinduzi, hakuna kombe la Nbcpl hakuna FA.
Vimba mwananchi vimba Tena vimba hakika Yanga sc ni Mashujaa.
Unaumia ukiwa wapi???Utakufa kwa ujinga wewe.Tulia.
Nikiwa nimeshika hirizi ambayo wewe unaita medali/mdali/mkufu hapa Suruti wilaya ya Namtumbo.😂🙏Unaumia ukiwa wapi???
Toka Azam awakanyage akili zenu hazijakaa sawa.Nikiwa nimeshika hirizi ambayo wewe unaita medali/mdali/mkufu hapa Suruti wilaya ya Namtumbo.[emoji23][emoji120]
Mlivyokanyagwa na Simba "mbiri-bira" akili mliweka wapi?Utopolo wakubwa ninyi!😜Toka Azam awakanyage akili zenu hazijakaa sawa.
Na kombe mkachukua???Mlivyokanyagwa na Simba "mbiri-bira" akili mliweka wapi?Utopolo wakubwa ninyi![emoji12]
Kwani haukuliona?Na kombe mkachukua???
Labda kombe la ujiKwani haukuliona?
Chukua hiyoKwani haukuliona?
Shukurani pia kwa umbumbumbu wako na upumbavu uliojaa kichwani [emoji41]Akili za wabongo wengi ziko limited kwenye simba na yanga.
Sikushangai mleta mada na huu ulimbukeni wako. Hongera sana kwa upuuzi.