Ni ubongo uliojaa funza (mafunye) tu ndiyo unaweza kushupaza shingo kuwa Yanga ni Dhaifu

Malengo ya Simba yalikua ni Yapi??

Na wamefika wapi ??
Malengo ya Simba yalikuwa kucheza Champions league na kufika semi fainali wakatolewa kwa penalti kwenye robofainali na timu inayocheza fainali Wydad Casablanca ambao ni mabingwa watetezi wa Klabu bingwa.
 
Utakufa kwa ujinga wewe.Tulia.
 
Akili za wabongo wengi ziko limited kwenye simba na yanga.

Sikushangai mleta mada na huu ulimbukeni wako. Hongera sana kwa upuuzi.
 
Akili za wabongo wengi ziko limited kwenye simba na yanga.

Sikushangai mleta mada na huu ulimbukeni wako. Hongera sana kwa upuuzi.
Shukurani pia kwa umbumbumbu wako na upumbavu uliojaa kichwani [emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…