Ni ubongo uliojaa makamasi tu ndiyo unaweza kuamini kuwa Marumo Galants FC ni Bora kuliko Yanga SC

Caesar14 said:
Bahlabane ba Ntwa..
Kwako Carrasco putinn mitambo ipo Sawa nadhani unanipata kwa uzuri kabisa.
Intsha yaseLimpopo izokwenza into embi kakhulu kubantu


Abemi kufuneka bazilungiselele ukufa okumasikizi
BAHLABANE BA NTWA BA UTOPOLO
😂😂🤔
Carrasco putinn bafwethu yehlisani istress lezi ezethu ziphelele sizobalalisa baze bamangale sebenzisa isiSwahili abasizwa
 
Kuwa na akili basi kidogo, ningezitaja hizo haudhani hoja yangu isingekuwa rahisi kueleweka? Ngoja basi niitaje Manchester City kabisa au Mamelodi Sundowns ni kongwe kuliko Marumo. SMH.
Pole sana kwa kupaniki ila huu ndiyo muda thabiti wa wewe kuwa mzalendo ukaishangilie yanga.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Napenda kusema tanzania hakuna wachambuzi WA Mpira .kwanza hata wachezaji WA Africa na timu shiriki hata hawazijui Hadi pale timu itakapo kutana na timu za tanzania ndio hao mbio mbio kwenda kusoma google na kuja kuleta kama takwimu

Hiyo marumo gallant ni prison ya south Africa ni timu ya kukamia tu

Sitoshangaa kama wakidundwa goli tatu na magodoro fc

Magodoro fc msimu huu wameokota pochi wadau ,tuacheni utani

Kimasihara wanaenda fainali hawa mbuzi
 
Umeandika fact sana japokua umeandika kwa hisia na majonzi sana, pole sana Ila nakushauri njoo Yanga tule bata.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kimeeleweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…