Mkuu ule Uchaguzi wa 2015 ulikuwa mlaini sana, watu wengi sana waligeuka wakamsupport magufuli kwa wingi mno, Watu wengi sana walibadili gia angani na kumsupport magufuli walidhani kuwa mambo yatakuwa sawa walimuunga mkono Kwa wingi Lakini watu wameumizwa sana na awamu hiii wakakuta waliodhani sio, mfano Nzuri tu ni humo CCM angalia akina makamba waliomuunga mkono, akina diallo walivyomuunga mkono akina kinana Lakini angalia maumivu waliyokutana nayo hao ni wanaccm vigogo wachache tu, huku chini ndio usiombe sasa hao wooote wanaenda kuungana na wa upinzani na raia wa kawaida ndio utajua wajua.
Kwa awamu hiii waliofaidhika nayo ni wale tu waliopata uteuzi pamoja na kile kikundi kidogo tu hata idadi Ya 10,000 hawafiki Halafu ujumlishe naa baadhi Ya wasukuma basi ndio maana ninasema utakuwa Uchaguzi Mugumu mno maaana CCM zaid ya nusu watamtosa, usiangalie kwenye majukwaa watafika huko kumlagai kutokana nahofu waliyonayo ila kwenye sanduku la kula watamtosa wengi mno