Ni uchawi ama hisia! Mahusiano kati ya baba na binti yametamalaki Jijiji Dar es Salaam

Ni uchawi ama hisia! Mahusiano kati ya baba na binti yametamalaki Jijiji Dar es Salaam

Am serious Khantwe hakuna wa kunizuia kuongea kuhusu Bikira.

Hata hivyo Bikira ni muhimu sana wajameni😁😁😁 Wanaume tukitaka heshima na Amani ya ukweli katika ndoa ZETU tuhakikishe tunawaoa wanawake ambao NI Bikira. Ukioa Mwanamke ambae sio bikira basi Jua umeoa Mwanamke ambae sio MKE wako.

Likud what are you talking about? MKE Bikira unampata wapi SASA hivi?

Kwa mfumo wa ndoa za kiislamu inawezekana but Kwa mfumo wa ndoa za kikristo ni.vigumu mno
Kwa hiyo unataka kaka zetu wabadili dini wapate bikra au unamaanisha nini?
 
Kwa hiyo wewe umetoka wapi? Umeumbwa na Nani?
Mimi ni zao la ngono waliyofanya baba na mama yangu....nikazaliwa kwa process kama viumbe wengine wote wether ni mbuzi,ng'ombe,samaki,etc..

Baba yangu na mama yangu wasingefanya ngono nisingetokea hapa,na nimeletwa bila hiyari yangu mimi,kama ningekua na uhuru wa kuchagua,nisingekaa nije huku duniani by whatever means neccesary maana dunia ni sehemu ya kipumbavu sana!
 
Mimi ni zao la ngono waliyofanya baba na mama yangu....nikazaliwa kwa process kama viumbe wengine wote wether ni mbuzi,ng'ombe,samaki,etc..

Baba yangu na mama yangu wasingefanya ngono nisingetokea hapa,na nimeletwa bila hiyari yangu mimi,kama ningekua na uhuru wa kuchagua,nisingekaa nije huku duniani by whatever means neccesary maana dunia ni sehemu ya kipumbavu sana!
Okay so maoni yako ni nini kuhusu vitu kama Jua, mwezi, maji, hewa, Moto n.k. Vimetoka wapi?
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Kwa nini Incest haina watetezi kama ushoga au ndoa za utotoni??
 
Back
Top Bottom