Kwa hiyo unataka kaka zetu wabadili dini wapate bikra au unamaanisha nini?Am serious Khantwe hakuna wa kunizuia kuongea kuhusu Bikira.
Hata hivyo Bikira ni muhimu sana wajameni😁😁😁 Wanaume tukitaka heshima na Amani ya ukweli katika ndoa ZETU tuhakikishe tunawaoa wanawake ambao NI Bikira. Ukioa Mwanamke ambae sio bikira basi Jua umeoa Mwanamke ambae sio MKE wako.
Likud what are you talking about? MKE Bikira unampata wapi SASA hivi?
Kwa mfumo wa ndoa za kiislamu inawezekana but Kwa mfumo wa ndoa za kikristo ni.vigumu mno
Mungu wala Shetani hawapo mkuu.Hahaha najua wewe ni Atheist..wewe hata Mungu huamini kama.yupo
Ukitaja shilingi ni ndogo mno, inagharimu rohoKwani kubadili dini sh ngapi?
Mimi ni zao la ngono waliyofanya baba na mama yangu....nikazaliwa kwa process kama viumbe wengine wote wether ni mbuzi,ng'ombe,samaki,etc..Kwa hiyo wewe umetoka wapi? Umeumbwa na Nani?
Okay so maoni yako ni nini kuhusu vitu kama Jua, mwezi, maji, hewa, Moto n.k. Vimetoka wapi?Mimi ni zao la ngono waliyofanya baba na mama yangu....nikazaliwa kwa process kama viumbe wengine wote wether ni mbuzi,ng'ombe,samaki,etc..
Baba yangu na mama yangu wasingefanya ngono nisingetokea hapa,na nimeletwa bila hiyari yangu mimi,kama ningekua na uhuru wa kuchagua,nisingekaa nije huku duniani by whatever means neccesary maana dunia ni sehemu ya kipumbavu sana!
Kwani Kiduku Lilo anasemaje ,maana yake yeye si ni wa kishua anaweza kuwa na uzoefu
Ushapigwa 🤣🤣🤣Me nauliza mkuu.. Hv demu yeyote bikira pindi anapobirikiwa/kugongwa kwa siku ya kwanza lazima atoe damu...? Na kama hatoi damu sio bikira..?