LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
" Benard Morrison yupo mbioni kufanyiwa upasuaji wa ngiri ambao utamfanya akae nje ya uwanja kwa muda wa miezi sita" . Vyombo mbalimbali vya habari nchini Tanzania. Ukitazama maradhi ya Benard Morrison kwa jicho la Mshana Jr unaweza kusema kwamba Benard Morrison amepigwa msumari.
Achana na misumari. Hakuna kitu kinajua kumu humble mtu kama misumari. Majuzi Morrison ambae aliondoka Yanga kwa nyodo za kiwango cha Stigla Goji alinukuliwa na gazeti la Mwanaspoti akiwaelezea Yanga kwa nidhamu ya hali ya juu sana. " Yanga ni timu nzuri sana, na wanafanya vizuri kwenye mechi zao, wamejipanga na wanaonekana wamedhamiria kuubeba ubingwa wa ligi. Mpira sio ugomvi , japo kwa sasa nipo Simba lakini Yanga wapo vizuri sana kusema ukweli" Mwisho wa kunukuu...
Morrison aliondoka Yanga kwa nyodo za hali ya juu sana jambo lililo waudhi wanayanga wengi. Huenda wazee wa kamati ya ufundi wa Yanga wame amua kumsogezea jinni au wanachama kindakindaki wa Yanga wenye ilmu ya uchawi wameamua wao wenyewe wakiwa na akili zao timamu na bila ya kushurutishwa na mtu yoyote, kumrushia Morrison maradhi ya ngiri...
Morrison nenda kwa Mwamposa au kwa Kuhani Mussa ukatolewe hilo pepo ulilo tumiwa.
Achana na misumari. Hakuna kitu kinajua kumu humble mtu kama misumari. Majuzi Morrison ambae aliondoka Yanga kwa nyodo za kiwango cha Stigla Goji alinukuliwa na gazeti la Mwanaspoti akiwaelezea Yanga kwa nidhamu ya hali ya juu sana. " Yanga ni timu nzuri sana, na wanafanya vizuri kwenye mechi zao, wamejipanga na wanaonekana wamedhamiria kuubeba ubingwa wa ligi. Mpira sio ugomvi , japo kwa sasa nipo Simba lakini Yanga wapo vizuri sana kusema ukweli" Mwisho wa kunukuu...
Morrison aliondoka Yanga kwa nyodo za hali ya juu sana jambo lililo waudhi wanayanga wengi. Huenda wazee wa kamati ya ufundi wa Yanga wame amua kumsogezea jinni au wanachama kindakindaki wa Yanga wenye ilmu ya uchawi wameamua wao wenyewe wakiwa na akili zao timamu na bila ya kushurutishwa na mtu yoyote, kumrushia Morrison maradhi ya ngiri...
Morrison nenda kwa Mwamposa au kwa Kuhani Mussa ukatolewe hilo pepo ulilo tumiwa.