Ni ugonjwa gani huu unitesao?

Kunywa maji mengi halafu toka nje ya Dar walau kwa siku 5 tu..kakae sehemu za bush mbali na kelele na mishemishe za sunia
Daah hapo inamana niombe likizo duh kazi za waindi hizi!
 
Tuliza mawazo ndugu...wala usikae kufikiria swala hilo pale unapoanza kuhisi hali hiyo..Utakuwa umeintegrate sana ugonjwa akilini,yan ugonjwa umeuhamishia akilini kuliko sehemu husika...relax, find a place,have a good time
 
Naomba tiba yake ndugu
 
Duu mtani umetema yai tupu
 
MKUU pole sana, cheki damu, kisukari, Tezi dume, kisonono, kaswende dheni kunywa maji mengi, njoo Moro uvute SHISHA, utapona maana dar inakatazwa.
 
umefanya vipimo vikubwa umesahau kucheck Hb
 
pole sana..
tatizo likianza huwa unajijengea hofu fulani kichwani kwamba unaumwa..
siku zinavozidi ndo unazidi kuona kwamba unaumwa..
halafu jinsi unavolichukulia uzito tatizo na kuliona kubwa ndivo linavokua...

tuseme ni tatizo la saikolojia au mindset
ambalo hata mimi linanipataga mara nyingi kwa sababu ni mtu ambae nina hofu mara kwa mara..
cha kufanya....
likatae tatizo!
usilichukulie uzito kama unaolichukulia maana litazidi ( ww kula tu) maana mimi ilifika kipindi nikawa natapika kabisa.
pia hayo mawàzo ya kutokula yakishatoka usikubali kuyarudia tena..

kingine jichangamshe hata kama mwili hautaki toka nje piga story
itafika mahala yataisha tu..

hakuna jambo kubwa Machoni pa Mungu!
yataisha tu.

pole sana
 
sa
Asante Princess
 
Mara kadhaa matatizo kama hayo chanzo chake huwa ni ktk ubongo hivyo jaribu kutafuta tiba kwa wataalamu wa mambo hayo.
 
Njoo dm tuongee kidogo Afu tujue tatizo NB : TUTAZUNGUMZA TU ILI NIKUPE USHAURI AU NIKUPE MSAADA WA VIPIMO Ambavyo vinaweza kukusaidia kugundua tatizo ulilo nalo ::::::
 
hata mm hili tatizo ninalo yani nachoka sana nimeenda regency nimepima kipimo cha ech,na ecg nipo vizr ila nilipatika minyoo ya H plyri na damu imezidi ip 18.5 ,bado nateseka sana nachok sana ,hata kazin nashindwa kwenda yan nishida kwakwel mungu tu asaaidie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…