Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,301
- 8,706
tezi zipi zimevimba (taja sehem zote unahisi tezi zimevimba) vipi usiku jasho linakutokaa?? huo muwasho umeleta vipele?? vipi maumivu ya Joint yanatokea muda gani
hizo tezi zimevimba ukubwa gani yaani zinaonekana mtu akitizama au hadi apapaseTezi za Taya na taya linauma pia na nyuma ya sikio la kushoto kwapsni na tezi za sehemu za siri, jasho linanitoka usiku, muwasho hauna vipere pia joint zinauma ndiyo, tumbo linajaa na kutuna na baadhi ya vyakula nikila linauma mfano maharage, limau, ndiz