hizo tezi zimevimba ukubwa gani yaani zinaonekana mtu akitizama au hadi apapaseTezi za Taya na taya linauma pia na nyuma ya sikio la kushoto kwapsni na tezi za sehemu za siri, jasho linanitoka usiku, muwasho hauna vipere pia joint zinauma ndiyo, tumbo linajaa na kutuna na baadhi ya vyakula nikila linauma mfano maharage, limau, ndiz
Kitaaluma tunaitaTezi za Taya na taya linauma pia na nyuma ya sikio la kushoto kwapsni na tezi za sehemu za siri, jasho linanitoka usiku, muwasho hauna vipere pia joint zinauma ndiyo, tumbo linajaa na kutuna na baadhi ya vyakula nikila linauma mfano maharage, limau, ndiz
Nilishapima Mara nne yaan mwaka mzima na mwez mmoja nikakuta npo negative sasa nashindwa kujua labda majibu hayo hayana uhakika naomba unielezee kwa undani km unauelewa kuhusu hiliKitaaluma tunaita
1.swollen lymph nodes(Neck, Armpit and Groins)
2.nausea
3.Joint pain
4.Night sweats
5.Rashes
Nenda Hospitali ukapime STD Especial Hiv then upime hasa hasa na TB
Nyuma ya sikio la kushoto imevimba had inaonekanatezi zipi zimevimba (taja sehem zote unahisi tezi zimevimba) vipi usiku jasho linakutokaa?? huo muwasho umeleta vipele?? vipi maumivu ya Joint yanatokea muda gani
hizo tezi zimevimba ukubwa gani yaani zinaonekana mtu akitizama au hadi apapase
Kapime uric acidNilishapima Mara nne yaan mwaka mzima na mwez mmoja nikakuta npo negative sasa nashindwa kujua labda majibu hayo hayana uhakika naomba unielezee kwa undani km unauelewa kuhusu hili
kapime ngomaTezi za Taya na taya linauma pia na nyuma ya sikio la kushoto kwapsni na tezi za sehemu za siri, jasho linanitoka usiku, muwasho hauna vipere pia joint zinauma ndiyo, tumbo linajaa na kutuna na baadhi ya vyakula nikila linauma mfano maharage, limau, ndiz
Mkuu npo serious maana niliona ni vyema kuorozesha dalili ili iwe rahisi kupata msaada maana dalili ndio inampa mtaalam wa afya muongozo tafadhali npo serious mkuu nahitaji msaada wenuPengine unafanya mzaha kututatiza lakin kumbuka wapo watu serious na wanasaidiwa humu jukwaani. Wengine tunaacha kwa dk 5-10 Ku attend wagonjwa tunaangalia huku nako kama kuna mtu ameomba afahamishwe jambo au anahitaji msaada wa matibabu. Be serious na ujielekeze kwenye jambo moja au mawili katika hilo rundo la dalili ambayo wewe unaona ndio inayokupa shida kisha tuendelee na maswali mpaka tufahamu tatizo, diagnosis ikiwezekana. Ahsante mkuu
polee sanaa TBumepimaa??Nilishapima Mara nne yaan mwaka mzima na mwez mmoja nikakuta npo negative sasa nashindwa kujua labda majibu hayo hayana uhakika naomba unielezee kwa undani km unauelewa kuhusu hili
polee sanaa TBumepimaa??Nilishapima Mara nne yaan mwaka mzima na mwez mmoja nikakuta npo negative sasa nashindwa kujua labda majibu hayo hayana uhakika naomba unielezee kwa undani km unauelewa kuhusu hili