Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I bet the meaning of Ustaarabu umebadilika.Danganyikans like you are some of the most Primitive souls alive.Uswahili mwingi tu umekujaa,si lingine.Otherwise umejaribu in your imaginative composition.
Hayo mambo ya kujitumbukiza vidole kwenye mkun... eti unaosha mavi, ni mila na desturi mliiga kutoka kwa waarabu, hilo sisi hatuigi.
Kwa hiyo mkikosa tissue mnasotea majaniHayo mambo ya kujitumbukiza vidole kwenye mkun... eti unaosha mavi, ni mila na desturi mliiga kutoka kwa waarabu, hilo sisi hatuigi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inaonekana ulitembelea sehemu za matajiri kenya..Ukienda kibera hamna Tissue wala maji..Hata choo hamna[emoji23][emoji23]
They literally eat each others Kinyesi while at it.😁Ubaya ni kwamba mkiosha mik#nd# huwa hamuogi mwili mzima kwa zaidi ya wiki kadhaa, mnaamini uchafu huwa upo huko nyuma tu . Alafu hamjui kutumia sabuni, mkimaliza shughuli yote mnabaki na vinyesi chini ya kucha. Uswahili mwingiii, baada ya hapo mnakula wali kwa kutumia vidole, tena watu kumi kwenye sinia moja. [emoji15] Yuuuck!
Kwa hiyo mkikosa tissue mnasotea majani
Ova
They literally eat each others Kinyesi while at it.[emoji16]
Huko kwenu mlivyo na tabu ya maji unakuta mtu anaingia chooni na kopo lenye maji kiasi ya kikombe hana tissue, maji machache kiasi hicho anajitumbukiza kidole mqundu eti anajitakasa, ukitoka hapo unamega tonge la ugali, nyie waarabu waliwaharibu....
Yote katika yote kitendo cha kutojisafisha baada ya haja kimenifanya niwaone mnanuka mavi, Dah hii kali ya Karne[emoji2][emoji2]
Izi comment za wakenya zimenifanya niwe jela (banned) siku tatu.Saizi ntakuwa nawasifia tu ili nijiokoe.
Amina mkuu.sasa nmeanza kukuelewaTatizo wewe mgeni ulikuja na mihemko hukujua huku kuna ustaarabu wake, ukajidanganya wewe ndiye mwenye dhamana ya kuwatusi watu, kwamba wengine hatujui jinsi ya kutukana, kwa taarifa yako mimi hapa nimewahi kula ban kwa ajili ya matusi makubwa hata zaidi ya wewe ambaye bado unajifunza.
Pambanua na kupangua hoja za wadau, wote tunakutana huku kama wana Afrika mashariki, japo utaona tukishindana humu udhani tuna chuki, lakini nje kwenye kazi zetu tuashirikiana sana hatuna chuki. Hawa Watanzania unaowaona humu wengi wapo Kenya wanapiga mishe, vile vile kuna Wakenya humu huja huko Tanzania.
Tunachofanya ni kusogeza muda kwa ushindani wa kindugu lakini sote tunahitajiana kwa namna moja au nyingine.
Khaaa ama kweli mganga hajigangi,kwa hiyo mmeiga lugha ya mkoloni hadi utamaduni wa uchafu, kweli kenya nimeamini is a white booty leakers state,mmmh.Hayo mambo ya kujitumbukiza vidole kwenye mkun... eti unaosha mavi, ni mila na desturi mliiga kutoka kwa waarabu, hilo sisi hatuigi.