Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani hata kuangalia mambo yake huwa sitaki na nikikuta wanangu wanaangalia maigizo yake nazima TV au nabadilisha chaneli hafai kabisa huyo dogoHalafu Kuna mtu tena huku kitaa alishatoa tena kauli kama yako [emoji848][emoji848][emoji848]
MÊmENtO HoMO
unachokiongea ni kweli ..kuna mtu kweli huku kitaa alisema huyu jamaa anakoelekea anakuwa ana kama kutukuza fulani hivi sana mambo ya ushoga. Yaani comedi nyingi sasa hivi ni aibu sana haswa kwa kizazi hiki cha hawa watoto ni hatari.Yaani hata kuangalia mambo yake huwa sitaki na nikikuta wanangu wanaangalia maigizo yake nazima TV au nabadilisha chaneli hafai kabisa huyo dogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha uwongo wewe,TV gani inaonesha maigizo ya Joti siku hizi?Yaani hata kuangalia mambo yake huwa sitaki na nikikuta wanangu wanaangalia maigizo yake nazima TV au nabadilisha chaneli hafai kabisa huyo dogo
Sent using Jamii Forums mobile app