Ni ujinga kushangilia madaraka ya Nape na January

Ni ujinga kushangilia madaraka ya Nape na January

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Tusiwe wasahaulifu kiasi hiki, uchaguzi wa 2015 ulikua na dosari kubwa ambazo waasisi na wasimamizi walikua by then ni "Vijana" walioaminiwa.

January Makamba ambaye sasa ni Wazuri, huyu ndio alikua kiongozi wa tallying center ya CCM ambayo ilibuni matokeo, kwa mfano, wapiga kura kwenye jimbo lake ambao walijiandikisha walikua 20,000 ila kura za Urais zikawa 40,000! Hili Watu walilipigia kelele sana, huu ni mfano ukiachana na mengine.

Nape Nnauye, anayeshabikiwa Leo, ndio muasisi na mtekelezaji wa ujinga aliouita "BAO la mkono", mkumbuke Nape aliwahi kupata ajali ambayo haikua na maelezo yoyote yale. Nape ndio muasisi pia wa Cybercrime act na maujinga mengine.

Hawa wamechaguliwa au wamepewa madaraka hayo Ili kuwapa nafasi ya kufanya ujinga ule ule wa miaka Ile.

Kabla ya kupiga makofi, tusijikumbushe walikotutoa na kutuingiza kwenye matatizo makubwa.
 
Tusiwe wasahaulifu kiasi hiki, uchaguzi wa 2015 ulikua na dosari kubwa ambazo waasisi na wasimamizi walikua by then ni "Vijana" walioaminiwa.

January Makamba ambaye sasa ni Wazuri, huyu ndio alikua kiongozi wa tallying center ya CCM ambayo ilibuni matokeo, kwa mfano, wapiga kura kwenye jimbo lake ambao walijiandikisha walikua 20,000 ila kura za Urais zikawa 40,000! Hili Watu walilipigia kelele sana, huu ni mfano ukiachana na mengine.

Nape Nnauye, anayeshabikiwa Leo, ndio muasisi na mtekelezaji wa ujinga aliouita "BAO la mkono", mkumbuke Nape aliwahi kupata ajali ambayo haikua na maelezo yoyote yale. Nape ndio muasisi pia wa Cybercrime act na maujinga mengine.

Hawa wamechaguliwa au wamepewa madaraka hayo Ili kuwapa nafasi ya kufanya ujinga ule ule wa miaka Ile.

Kabla ya kupiga makofi, tusijikumbushe walikotutoa na kutuingiza kwenye matatizo makubwa.
Nape anatosha 2030
 
Tusiwe wasahaulifu kiasi hiki, uchaguzi wa 2015 ulikua na dosari kubwa ambazo waasisi na wasimamizi walikua by then ni "Vijana" walioaminiwa.

January Makamba ambaye sasa ni Wazuri, huyu ndio alikua kiongozi wa tallying center ya CCM ambayo ilibuni matokeo, kwa mfano, wapiga kura kwenye jimbo lake ambao walijiandikisha walikua 20,000 ila kura za Urais zikawa 40,000! Hili Watu walilipigia kelele sana, huu ni mfano ukiachana na mengine.

Nape Nnauye, anayeshabikiwa Leo, ndio muasisi na mtekelezaji wa ujinga aliouita "BAO la mkono", mkumbuke Nape aliwahi kupata ajali ambayo haikua na maelezo yoyote yale. Nape ndio muasisi pia wa Cybercrime act na maujinga mengine.

Hawa wamechaguliwa au wamepewa madaraka hayo Ili kuwapa nafasi ya kufanya ujinga ule ule wa miaka Ile.

Kabla ya kupiga makofi, tusijikumbushe walikotutoa na kutuingiza kwenye matatizo makubwa.
CCM wanamalizana wenyewe sasa.. tulia tu.
 
Tusiwe wasahaulifu kiasi hiki, uchaguzi wa 2015 ulikua na dosari kubwa ambazo waasisi na wasimamizi walikua by then ni "Vijana" walioaminiwa.

January Makamba ambaye sasa ni Wazuri, huyu ndio alikua kiongozi wa tallying center ya CCM ambayo ilibuni matokeo, kwa mfano, wapiga kura kwenye jimbo lake ambao walijiandikisha walikua 20,000 ila kura za Urais zikawa 40,000! Hili Watu walilipigia kelele sana, huu ni mfano ukiachana na mengine.

Nape Nnauye, anayeshabikiwa Leo, ndio muasisi na mtekelezaji wa ujinga aliouita "BAO la mkono", mkumbuke Nape aliwahi kupata ajali ambayo haikua na maelezo yoyote yale. Nape ndio muasisi pia wa Cybercrime act na maujinga mengine.

Hawa wamechaguliwa au wamepewa madaraka hayo Ili kuwapa nafasi ya kufanya ujinga ule ule wa miaka Ile.

Kabla ya kupiga makofi, tusijikumbushe walikotutoa na kutuingiza kwenye matatizo makubwa.
Huo ni uongo wa waziwazi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Hlo sawa lkn jiwe alikuwa Iblis mkuu hawa hawakuwa na namna
Tusiwe wasahaulifu kiasi hiki, uchaguzi wa 2015 ulikua na dosari kubwa ambazo waasisi na wasimamizi walikua by then ni "Vijana" walioaminiwa.

January Makamba ambaye sasa ni Wazuri, huyu ndio alikua kiongozi wa tallying center ya CCM ambayo ilibuni matokeo, kwa mfano, wapiga kura kwenye jimbo lake ambao walijiandikisha walikua 20,000 ila kura za Urais zikawa 40,000! Hili Watu walilipigia kelele sana, huu ni mfano ukiachana na mengine.

Nape Nnauye, anayeshabikiwa Leo, ndio muasisi na mtekelezaji wa ujinga aliouita "BAO la mkono", mkumbuke Nape aliwahi kupata ajali ambayo haikua na maelezo yoyote yale. Nape ndio muasisi pia wa Cybercrime act na maujinga mengine.

Hawa wamechaguliwa au wamepewa madaraka hayo Ili kuwapa nafasi ya kufanya ujinga ule ule wa miaka Ile.

Kabla ya kupiga makofi, tusijikumbushe walikotutoa na kutuingiza kwenye matatizo makubwa.
 
Back
Top Bottom